johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nakuuliza swali hili mh Peter Msigwa kwanza kama mbunge pekee wa upinzani mkoa wa Iringa lakini pia kama mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa.
Nimetembelea Mafinga wadimi wanalalamika kukosa vibarua kwa kuwa viwanda vinafungwa na wamebakia Wachina ndio wanaotamba msituni.
Kabla sijawasiliana na waziri husika ningependa kupata maoni yako mtumishi kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Maendeleo hayana vyama!
Nimetembelea Mafinga wadimi wanalalamika kukosa vibarua kwa kuwa viwanda vinafungwa na wamebakia Wachina ndio wanaotamba msituni.
Kabla sijawasiliana na waziri husika ningependa kupata maoni yako mtumishi kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Maendeleo hayana vyama!