Mchungaji Msigwa viwanda vya kuchakata mazao ya misitu vinafungwa Mafinga, kulikoni?

Mbao sikuhizi haziuziki kama zamani, ukienda Iringa sasa unaweza nunua msitu wa miti kwa bei ya kawaida sana, Wachina wanaviwanda vingi sana Mafinga nasikia wananunua hata miti ya miaka 6, wao wanatengeneza kitu kama ceiling board, hawana muda na mbao. Kama una pesa nendeni Iringa mkawekeze kwenye miti.
 
Kwani.wewe binti umeshindwa kumwuliza mbunge wa Mafinga? Au kwa nini usimwulize mwenyekiti wa ccm mkoa wa Iringa? Onyo'anokho!
 
Funga vyote! Kwanza ni aibu kuendelea kufyeka miti kwa kisingizio cha viwanda. Viwanda gani hivyo? Hizi siyo enzi za kutaka miti.
 
Haya mahaba yatakuja yakuue siku moja aisee! 🙊

Mkuu hakuna cha mahaba hapa, wewe huoni Rais wetu JPM anavyopiga kazi kila kona nchi inajengwa... Reli zinajengwa, bwawa la umeme, mabarabara nchi nzima, nidhamu imerudi maofisini na sasa tunahudumiwa chapuchapu, mahospitali yanajengwa huku na kule, watanzania wanafuraha balaa, pato la mtanzania limeongezea nk..

Chagua Dr, Jemedari JPM 2020, ushindi 99.9%..
 
Mchungaji msingwa ni mbunge wa Iringa mjini.Utakuwa humtendei haki kumuuliza mambo ya mafinga wakati yeye hahusiki.Halafu kama ungetaka majibu ya moja kwa moja ungemfuata Tweeter au Instagram maana sidhani kama humu JF anatumia jina lake halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mafinga Nimekaa sana SAO hill (Green resources)
Kinyanambo A na B japo Pipe line ndo sana, nimeshiriki kwenye survey na Kina mzee Kisondela Miaka mingi tulikuwa na Waholanzi ,

Napajua malighafi zipo
Hahaha mbona kama ume jitaja. Haya ndio Maxence Melo husema humu kila siku, usinogewe na story uka ji expose, ukapata matatizo ukaja lalamikia uongozi wa JF kwamba wamekuanika.
Kumbuka kutokuwa shujaa JF.
 
Viwanda ni teknologia, na technologia inauzwa siyo bure, hakuna ujanja ujanja kwenye hili, na wataalamu waendeshaji wa mitambo, achana na wale theorist wa CoeT, naongelea real engineers.
Mabanda au warehouses siyo viwanda, viwanda ni technologia kuibadirisha raw material into a product.
Kiwanda siyo majumba ya kuhifadhi malighafi tuliyaita godown.
Kama Tanzania ni member wa WTO aka sign mikataba kule tupate viwanda na technologia, wenye nazo wanatakakulinda copyright na patent zao mkuu.
 
Waulize wabunge wa CCM huko Mufindi Msigwa ni Iringa Mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mbona kama ume jitaja. Haya ndio Maxence Melo husema humu kila siku, usinogewe na story uka ji expose, ukapata matatizo ukaja lalamikia uongozi wa JF kwamba wamekuanika.
Kumbuka kutokuwa shujaa JF.
Mi ni kama kigogo anapost picha eti niko buguruni kumbe yuko Hedemora Sweden kuwachanganya watesi
 
Sikumbuki in much details ila nachukumbuka, nikwamba last week hivi kwenye taarifa ya habari nilisikia taarifa ya serikali kupitia mamlaka zake kuwa imeaaanza kucharge asilimia fulani ambayo ni kama shilingi 500 kama kodi katika kila ubao.
Nazan kufungaji uwo ni effect za hii tozo mpya
 

Zinaitwa plywood.
 
Hakuna mzunguko wa fedha, jiwe limeziba fursa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ni kama kigogo anapost picha eti niko buguruni kumbe yuko Hedemora Sweden kuwachanganya watesi
Ahaa ok, well kama unajua UNACHOKIFANYA sawa, maana usije ukatoa details nyiingi mwisho ukawa umewasaidia kwa kuji expose, wakakudaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…