Nalielewa hilo bwashee!
Yuko Machame kwa mwaliko wa madc wawili walio majirani!Hivi sasa hivi mchungaji Erasto yuko jela nini, mbona huleti tena habari zake?
Kwani.wewe binti umeshindwa kumwuliza mbunge wa Mafinga? Au kwa nini usimwulize mwenyekiti wa ccm mkoa wa Iringa? Onyo'anokho!Nakuuliza swali hili mh Peter Msigwa kwanza kama mbunge pekee wa upinzani mkoa wa Iringa lakini pia kama mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa.
Nimetembelea Mafinga wadimi wanalalamika kukosa vibarua kwa kuwa viwanda vinafungwa na wamebakia Wachina ndio wanaotamba msituni.
Kabla sijawasiliana na waziri husika ningependa kupata maoni yako mtumishi kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Maendeleo hayana vyama!
Yuko Machame kwa mwaliko wa madc wawili walio majirani!
Wa kwenda jela utawajua pale mtakapofanya uchaguzi mwingine hapo Ufipa!Ok, nimeona taarifa zake ziko offline nikajua yuko jela.
Funga vyote! Kwanza ni aibu kuendelea kufyeka miti kwa kisingizio cha viwanda. Viwanda gani hivyo? Hizi siyo enzi za kutaka miti.Nakuuliza swali hili mh Peter Msigwa kwanza kama mbunge pekee wa upinzani mkoa wa Iringa lakini pia kama mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa.
Nimetembelea Mafinga wadimi wanalalamika kukosa vibarua kwa kuwa viwanda vinafungwa na wamebakia Wachina ndio wanaotamba msituni.
Kabla sijawasiliana na waziri husika ningependa kupata maoni yako mtumishi kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Maendeleo hayana vyama!
Haya mahaba yatakuja yakuue siku moja aisee! 🙊
Hahaha mbona kama ume jitaja. Haya ndio Maxence Melo husema humu kila siku, usinogewe na story uka ji expose, ukapata matatizo ukaja lalamikia uongozi wa JF kwamba wamekuanika.Mafinga Nimekaa sana SAO hill (Green resources)
Kinyanambo A na B japo Pipe line ndo sana, nimeshiriki kwenye survey na Kina mzee Kisondela Miaka mingi tulikuwa na Waholanzi ,
Napajua malighafi zipo
Viwanda ni teknologia, na technologia inauzwa siyo bure, hakuna ujanja ujanja kwenye hili, na wataalamu waendeshaji wa mitambo, achana na wale theorist wa CoeT, naongelea real engineers.Niuseme Ukweli sasa haha Yule ambaye alikuwa anaimba kuleta serikali ya viwanda ameona kwamba isingewezekana na haitawezekana
Tumekosea wapi
1.Tumeingiza siasa kwenye taaluma na Utaalamu, walipaswa wawe na mpango mkakati wa kuwashirikisha hasa wenye viwanda vilivyopo kuona ni wapi paboreshwe, lakin kinyume serikali imekuwa against Private sectors na kuona kama maadui , lazima viwanda vifungwe
2.Hakukuwa na maandalizi Thabiti ya Viwanda vyenyewe
Tulilileta kisiasa
Ilibidi kwanza tuhakikishe haya
A.Tuna nini kama Malighafi
B.Tunataka kuzalisha nini kutokana na Malighafi hizo
C.Nani awekeze katika uzalishaji huo
D.Ni nini mahitaji muhim katika uzalishaji hio na yanakidhi viwango? Yaan Umeme, Miundombinu na vingine
E.Muda tuliojipa unatosha kuyakamilisha?
F.Elimu vijana wanayopata itakidhi mahitaji ya soko la wataalamu ndani ya viwanda hivyo?
Tatizo tuna copy na Ku paste, kama Singapore na Indonesia bila kujua leo wamefikaje
Viwanda vitafungwa sana
Britannica
Wabunge wa ccm ni wabunge wa kupitisha miswada ya mauaji tu na kugonga meza , hawana lingineKwani Huko mafinga hakuna mbunge?
Waulize wabunge wa CCM huko Mufindi Msigwa ni Iringa MjiniNakuuliza swali hili mh Peter Msigwa kwanza kama mbunge pekee wa upinzani mkoa wa Iringa lakini pia kama mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa.
Nimetembelea Mafinga wadimi wanalalamika kukosa vibarua kwa kuwa viwanda vinafungwa na wamebakia Wachina ndio wanaotamba msituni.
Kabla sijawasiliana na waziri husika ningependa kupata maoni yako mtumishi kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Maendeleo hayana vyama!
Mi ni kama kigogo anapost picha eti niko buguruni kumbe yuko Hedemora Sweden kuwachanganya watesiHahaha mbona kama ume jitaja. Haya ndio Maxence Melo husema humu kila siku, usinogewe na story uka ji expose, ukapata matatizo ukaja lalamikia uongozi wa JF kwamba wamekuanika.
Kumbuka kutokuwa shujaa JF.
Mbao sikuhizi haziuziki kama zamani, ukienda Iringa sasa unaweza nunua msitu wa miti kwa bei ya kawaida sana, Wachina wanaviwanda vingi sana Mafinga nasikia wananunua hata miti ya miaka 6, wao wanatengeneza kitu kama ceiling board, hawana muda na mbao. Kama una pesa nendeni Iringa mkawekeze kwenye miti.
Nakuuliza swali hili mh Peter Msigwa kwanza kama mbunge pekee wa upinzani mkoa wa Iringa lakini pia kama mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa.
Nimetembelea Mafinga wadimi wanalalamika kukosa vibarua kwa kuwa viwanda vinafungwa na wamebakia Wachina ndio wanaotamba msituni.
Kabla sijawasiliana na waziri husika ningependa kupata maoni yako mtumishi kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Maendeleo hayana vyama!
Ahaa ok, well kama unajua UNACHOKIFANYA sawa, maana usije ukatoa details nyiingi mwisho ukawa umewasaidia kwa kuji expose, wakakudaka.Mi ni kama kigogo anapost picha eti niko buguruni kumbe yuko Hedemora Sweden kuwachanganya watesi