Oh Msigwa kuhamia ccm kajimaliza kisiasa, nonsense kabisa! Yaani siasa nchi hii lazima ufanyie CHADEMA, wewe ambaye hujaisha kisiasa unafanya nini! Kisiasa ukoje!
Oh vijana msitoke CHADEMA mna future nzuri, uongo tu. Hao wanaowambia mnafuture wao wenyewe hawana future!
View attachment 3081713
Pia soma==>> Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Msigwa wewe ni kama mwanamke uliyepewa talaka na mume wako, sasa kuendelea kumzungumzia vibaya aliyekuwa mume wako maana yake bado ulikuwa unampemda na huko ulipoenda kuna vitu ambavyo huvipati.Oh Msigwa kuhamia ccm kajimaliza kisiasa, nonsense kabisa! Yaani siasa nchi hii lazima ufanyie CHADEMA, wewe ambaye hujaisha kisiasa unafanya nini! Kisiasa ukoje!
Oh vijana msitoke CHADEMA mna future nzuri, uongo tu. Hao wanaowambia mnafuture wao wenyewe hawana future!
View attachment 3081713
Pia soma==>> Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Mbowe sio mpinzani kama hamuelewi basi shauri yenu ila kwa kuwa uongo, ghiliba na utapeli vina mwisho mtakuja kujua hilo.
Mbowe sio mpinzani nchi hii ni ya kuhurumia sana na Chadema kamwe haitafanya siasa yeyote au kuchukua nchi kama Mbowe akiwa pale.
Mbowe ni Mamluki anareport kila kitu.
Nyie waumini mnaoenda kanisa la huyu bwana jitafakarini sana.Oh Msigwa kuhamia ccm kajimaliza kisiasa, nonsense kabisa! Yaani siasa nchi hii lazima ufanyie CHADEMA, wewe ambaye hujaisha kisiasa unafanya nini! Kisiasa ukoje!
Oh vijana msitoke CHADEMA mna future nzuri, uongo tu. Hao wanaowambia mnafuture wao wenyewe hawana future!
View attachment 3081713
Pia soma==>> Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Tunaposema amejumaliza kisiasa ni kama hivi kubebeshwa sanamu na watoto wa uvccm hata sura yake anaonyesha amelazimishwaOh Msigwa kuhamia ccm kajimaliza kisiasa, nonsense kabisa! Yaani siasa nchi hii lazima ufanyie CHADEMA, wewe ambaye hujaisha kisiasa unafanya nini! Kisiasa ukoje!
Oh vijana msitoke CHADEMA mna future nzuri, uongo tu. Hao wanaowambia mnafuture wao wenyewe hawana future!
View attachment 3081713
Pia soma==>> Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Ni kama ugomvi binafsi wa Mwalimu na Nduli ulivyoyaingiza Vitani Mataifa mawili na kusababisha Nduli kuomba hifadhi kwa Waarabu ππMchungaji unawapiga kwenye mshono
Ahadi yake ilikua akihama CHADEMA anahama na "rundo" la watu kutoka huko.Haikua hivyo.Kaanza kutumia mbinu nyingine ya uchonganishi?ππππOh Msigwa kuhamia ccm kajimaliza kisiasa, nonsense kabisa! Yaani siasa nchi hii lazima ufanyie CHADEMA, wewe ambaye hujaisha kisiasa unafanya nini! Kisiasa ukoje!
Oh vijana msitoke CHADEMA mna future nzuri, uongo tu. Hao wanaowambia mnafuture wao wenyewe hawana future!
View attachment 3081713
Pia soma==>> Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Mimi ninavyo jua Msigwa ameenda CCM kufuata maslahi yake binafsi kwa hiyo msiwe na kazi ya kumjibu yeye asubiri mda wake ukifika apate utezi wake basi, akichapata uteuzi kama wakina katambi atanyamaza mwenyeweOh Msigwa kuhamia ccm kajimaliza kisiasa, nonsense kabisa! Yaani siasa nchi hii lazima ufanyie CHADEMA, wewe ambaye hujaisha kisiasa unafanya nini! Kisiasa ukoje!
Oh vijana msitoke CHADEMA mna future nzuri, uongo tu. Hao wanaowambia mnafuture wao wenyewe hawana future!
View attachment 3081713
Pia soma==>> Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA
Msigwa alipitiwa na dollar za Abdul, asijifanye mjanja yeye amenunuliwa kama bidhaa tu.Mimi ninavyo jua Msigwa ameenda CCM kufuata maslahi yake binafsi kwa hiyo msiwe na kazi ya kumjibu yeye asubiri mda wake ukifika apate utezi wake basi, akichapata uteuzi kama wakina katambi atanyamaza mwenyewe
$ 500,000.Hivi Msigwa alinunuliwa kwa Bei gani?