..hii sio hoja ngumu kujibu.
..Msigwa alipoingia Cdm alikuwa muuza mitumba.
..Cdm walimpa platform na akapanda mpaka akawa mbunge vipindi viwili.
..Msigwa alipogombea ubunge kipindi cha tatu, Ccm walimpora ushindi wake.
..Ccm ni chama cha wenye fedha. Sio rahisi mtu wa chini kujiunga nao, na kufikia ngazi, na umaarufu, aliopata Msigwa alipokuwa Cdm.
..kwa hiyo, kwa kijana anayechipukia ktk siasa, ambaye hana fedha, lakini amewiwa kutetea nchi yake, Cdm ndio chama kinachomfaa.
..kwa mtu wa makamo, mwenye fedha, anayetaka kulinda utajiri wake, au kuongeza utajiri, chama kinachomfaa ni Ccm.
..Cdm, na Ccm, vyote ni vyama sahihi, lakini sahihi kwa watu wa matabaka tofauti.
Cc
Nguruvi3