Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Wanaosema msitoke CHADEMA kwakuwa kuna future ni uongo mtupu, wao wenyewe hawana hiyo future

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Wanaosema msitoke CHADEMA kwakuwa kuna future ni uongo mtupu, wao wenyewe hawana hiyo future

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..hii sio hoja ngumu kujibu.

..Msigwa alipoingia Cdm alikuwa muuza mitumba.

..Cdm walimpa platform na akapanda mpaka akawa mbunge vipindi viwili.

..Msigwa alipogombea ubunge kipindi cha tatu, Ccm walimpora ushindi wake.

..Ccm ni chama cha wenye fedha. Sio rahisi mtu wa chini kujiunga nao, na kufikia ngazi, na umaarufu, aliopata Msigwa alipokuwa Cdm.

..kwa hiyo, kwa kijana anayechipukia ktk siasa, ambaye hana fedha, lakini amewiwa kutetea nchi yake, Cdm ndio chama kinachomfaa.

..kwa mtu wa makamo, mwenye fedha, anayetaka kulinda utajiri wake, au kuongeza utajiri, chama kinachomfaa ni Ccm.

..Cdm, na Ccm, vyote ni vyama sahihi, lakini sahihi kwa watu wa matabaka tofauti.

Cc Nguruvi3
Kila mtu ana historia yake hata Mbowe alikuwa DJ. Sasa hivi wote mmekuwa mateka wake.
 
Kweli umeshakuwa mwehu. Kupiga picha na makala ukiwa bandarini Basi umeshajifanya CCM yote yako. Utakula maisha kipindi tu makala yupo madarakani coz aliratibu zoezi la ww kuhama. Siku akitoka nakwambia na biashara yako imeisha.
 
Back
Top Bottom