johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mmoja wa watuhumiwa wa kesi inayowakabili viongozi wa Chadema Mchungaji Peter Msigwa amesema katika mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi wa Mbunge wa Kinondoni katika viwanja vya Buibui alikuwepo pia Naibu Waziri wa TAMISEMI Mh Mwita Waitara.
Baada ya kumalizika mkutano huo viongozi hao wa Chadema walifanya safari ya kwenda ofisini kwa msimamizi wa uchaguzi na wakiwa njiani risasi ilipigwa na kumuua mwanafunzi wa NIT Akwilina (RIP).
Mchungaji Msigwa ametoa maelezo hayo alipoanza kutoa utetezi wake mbele ya Hakimu Simba wa Mahakama ya Kisutu.
Source: ITV habari
Baada ya kumalizika mkutano huo viongozi hao wa Chadema walifanya safari ya kwenda ofisini kwa msimamizi wa uchaguzi na wakiwa njiani risasi ilipigwa na kumuua mwanafunzi wa NIT Akwilina (RIP).
Mchungaji Msigwa ametoa maelezo hayo alipoanza kutoa utetezi wake mbele ya Hakimu Simba wa Mahakama ya Kisutu.
Source: ITV habari