donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Aisee kweli, hadi Masanja mchungajiMchungaji siku hizi limekuwa kama AKA.
MC Pilipili naye mchungaji siku hizi, yaani wamemgeuza Mungu babu yao.Aisee kweli, hadi Masanja mchungaji
Ni kweli kabisa mkuuz wengi mnoWAJINGA NDO WALIWAO MKUU,LIST NI NDEFU ZA MANABII NA WACHUNGAJI WALAGHAI
Kweli, mhuni ukawa unamega kiselaTuliwahi gombania demu mmoja sinza nikajitoa kwenye kinyanganyiro demu akanionea huruma akawa anachukua pesa kwa nabii halafu mimi napewa papuchi for free.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Na bado unakuta kanisa limejaa hususan kina mama zetu unakuta huwaambii kitu. Hawa jamaa sio bure, nahisi huaga kuna kakitu wanatumia kufanya mind controlAshasema yeye ni Much.billionaire mpaka hapo ni tapateli tyr
Sure kuna kitu wanatumia..makanisa yao hayo uchwara unakuta wanajaa kina dada na kina mama..wanapuliziwa kitu hawaNa bado unakuta kanisa limejaa hususan kina mama zetu unakuta huwaambii kitu. Hawa jamaa sio bure, nahisi huaga kuna kakitu wanatumia kufanya mind control
Sure mkuu, maana sio kwa uzwazwa huo. Kuna mama mstaaf wa Jeshi alilipwa pesheni yake kudadeki akatoa fungu kubwaaa kupeleka kwa bulldozer eti shukrani. Wanae walimlaani hatariSure kuna kitu wanatumia..makanisa yao hayo uchwara unakuta wanajaa kina dada na kina mama..wanapuliziwa kitu hawa
Ukawa unakula kisela π₯π₯π₯π₯π₯πππTuliwahi gombania demu mmoja sinza nikajitoa kwenye kinyanganyiro demu akanionea huruma akawa anachukua pesa kwa nabii halafu mimi napewa papuchi for free.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums Mobile app
Peleka tu mkuu, I'll passPeleka sadaka ubarikiwe [emoji2760]
Peleka tu mkuu, I'll pass
Aisee umekula sadaka za mazwazwaTuliwahi gombania demu mmoja sinza nikajitoa kwenye kinyanganyiro demu akanionea huruma akawa anachukua pesa kwa nabii halafu mimi napewa papuchi for free.