Mchungaji na Bilionea Shilla...

Mchungaji na Bilionea Shilla...

Mi sio muumini wakewala sina airtime time nae.
Ila ni ujinga mkuu kufikiri mchungaji,nabii,katekista,mtume,padre au mtumishi yeyote kutokua na hela
Ni umaskini wa fikra kudhani fedha zina milikiwa na akina moo basi wengine hawawezi.

Km ni show off,kuna mtu kakatazwa yeye ku azima fedha na ku show off.?
Umaskini ni mby sana,ndio maana maskini haaminiki.
Aisee, Tz bado sana, imagine na wew unaexist katika ardhi hiyo
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Wenye hela hawaoneshi hela. Hawabebi makesh kesh hivo.

Wanabeba debit card, tena Black.

Hizo hela mezani hazivuki Mil 7, iPhone 12 Mil 2, HP iyo Mil 1, ilo Didot fake, Saa gharaka..

Ila wivu utaniua.. Tuache awaibie kondoo zake man.
Hahaha live
 
Siku kampigia video call nkamwambia pokea alimuhisi yupo na mwanaume mi nkatoka nje basi akamuonyesha chumba kizima hadi sebuleni kumbe sie tunacheza na camera.

Ikielekea huku mi nachumpa upande wa pili basi akaridhika nikaendelea na mchakato.Kuanzi siku hiyo siamini video call [emoji23][emoji23]

Ulikuwa unakula kinyonge sana.
 
Mi sio muumini wakewala sina airtime time nae.
Ila ni ujinga mkuu kufikiri mchungaji,nabii,katekista,mtume,padre au mtumishi yeyote kutokua na hela
Ni umaskini wa fikra kudhani fedha zina milikiwa na akina moo basi wengine hawawezi.

Km ni show off,kuna mtu kakatazwa yeye ku azima fedha na ku show off.?
Umaskini ni mby sana,ndio maana maskini haaminiki.

Pamoja na kujifaragua na kujitetea hapo mwanzoni, ila para ya mwisho imetosha kuonesha uzwazwa wako…. endeleeni kupigwa tu.

Kuazima PESA za show off…!!
 
Wakuu, huyu bwana mdogo nimekua nikicheck posts zake mitandaoni napata ukakasi kama kweli (roho yu ndani yake) na vile maandiko yanavosema tujihadhari na manabii wa siku za mwisho.

And what's the source of his lavish style?

acha wivu mzee mwache ale bata unaweza ukaona hizo hela amezipata kwa shida[emoji2]
 
Back
Top Bottom