joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Huyo number 10 mtoe.ORODHA YA MATAJIRI TANZANIA (WENGINE HAWAPO HAI KWA SASA )
1. SAID BAKHRESA
2. GULAM DEWJI
3. ROSTAM AZIZ
4. DK. REGINALD MENGI
5. ALI MUFURUKI
6. MUSTAFA SABODO
7. ABDUL-AZIZ ABOOD
8. MICHAEL SHIRIMA
9. YUSUF MANJI
10. MOHAMMED DEWJI
JE UMEISHAWAHI KUONA WAMEPIGA PICHA NA MAPESA? JE UMEISHAWAHI SIKIA WAKIJITAMBULISHA KAMA BILIONEA?.
WENYE PESA HAWAJITANGAZI!! TUKO KIMYAA
Ulichagua fungu jema mkuuNilisham unfollow insta kwa kuona simuelewi elewi
Namba 10 amekuwa kama shillar billionaire[emoji1][emoji1][emoji1]Huyo number 10 mtoe.
Nipo ndugu badala ya kuongeza nguvu kupambania maendeleo imebidi tuongeze ya kupambana kuishi dhidi ya mdudu corona.Nimefurahi kuona uwepo wako Dina
Kuna rafiki yangu huwa anasema, kama si shida basi Waafrika wangekuwa wapagani namba moja...
Hivyo watu hupelekwa huko sababu ya shida tu
Nabii pengine akawa anamuambia muumini ...ile tuifanye sadaka tuu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kuna mahali niliwahi kusoma...kuna muumini analalamika amemkopa nabii mil 1 hajamrudishia [emoji23][emoji23] anampiga chenga tu
Pesa uliyonayoHivi Tanzania tunatumia vigezo gani kuwa billionaire
Acha wivu mkuuHuyo number 10 mtoe.
ππ Zile wanazopiga nazo picha π€£π€£ ukienda kiuhalisia bongo mabillionea ni wachache sana hata wale tunaoambiwa ni mabillionea utakuta sio ila tu wana helaPesa uliyonayo
MC Pilipili naye mchungaji siku hizi, yaani wamemgeuza Mungu babu yao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Bilonea anapiga picha na 5m huyo labda bilionea wa zimbabwe...nlimkuta chuga analala premier hotel,chumba pale 50 kwa 40[emoji16][emoji16]anazidiwa na tunda anaelala mountmeru au granmelia
Huu utqjiri usio na maelezo yanayoeleweka,huwa unatia mashaka,Wakuu, huyu bwana mdogo nimekua nikicheck posts zake mitandaoni napata ukakasi kama kweli (roho yu ndani yake) na vile maandiko yanavosema tujihadhari na manabii wa siku za mwisho.
And what's the source of his lavish style?