Mchungaji na mkewe wanusurika kuuawa

Mtu anakuteka na panga we unamkemea shetan unaakili kweli bro? Utakuja kufa kijinga acha uboya
Ndo maana mchungaji alikufanya kimbola wake akakutuma ukatoe gogo jamaa wa panga angeanza na ww ndo ungejua mchungaji aliwahi kushiriki mbio za magari
Hahaaa! wanaposikia Israel ni taifa Teule wanadhani Mungu alikua anawapa ushindi kizembe zembe.
 
Hii story ni ya uongo, Kama ukitaka kuwasaidia wananchi ungesema ni wapi kisa hicho kimetokea, lini na kuwapa watu tahadhari vinginevyo ni kutafuta Kiki tu
Kisa ni cha kweli kabisa. Mimi nauchukia uongo kama ukoma. Uongo ni dhambi na hukumu yake ni kubwa. Soma:

Ufunuo wa Yohana 21:8​

"Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili."

Unataka nitaje eneo niwatishe watu waache kupita barabara hiyo? Kwani majambazi wanakaa eneo moja kila siku. Ukisafiri chukua tahadhari huku ukimtanguliza Mungu mbele, utakuwa salama.
 
Unayosema wenzako hawawezi kukuelewa hata uelezee siku nzima 1 korinth 2;10
 
Acha sound kijana
 
Nimefika mwisho nimejikuta nacheka ahalafu sijajua kilichonichekesha
 
Mbona hutaji ni sehemu gani na mji wenyewe ili tukipita tuwe ngangari!
 
Kwanini kila mara unapatwa na majanga tu! Mara majambazi mra kuunguliwa moto nk! Na je umeokoka hivi karibuni?
 
Haya mtumishi 🀣🀣🀣🀣
 
Ila mimi Mungu apishie mbali tu mtu mmoja mwenye panga tunaetazamana nae uso kwea uso haniteki aban asilani.anaweza kuniua tu ila kuniibia nikiwa hai HAPANA.Ile kitu naheshimu kwa heshima ya juu kabisa ni chuma tu
 
Sasa ninyi mlijuaje kua anataka kuwaua au mnatembea na wake za watu?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanakula kondoo eti e
Ila huyu member anafanana na "Don" mwenye kanisa lake, mwanaharakati na mwanamziki wa Jeiefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…