Mchungaji nae hapendi ujinga

Iyegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
6,276
Reaction score
12,404
...baada ya kutoka kanisani basi tupo nje ya kanisani tunasalimiana na Mchungaji,kwa kuwa huwa sitoi sadaka ikabidi nifiche simu yangu ili mchungaji asiione maana ni ya gharama,kabla sijaiweka mfukoni akaiona,akauliza....
  • simu nzuri sana,umenunua sh. ngapi?
ili kuficha bei halisi nikasema elfu 20 kumbe ni ya laki 2.Mara mchungaji akatoa elfu 40..kisha akasema...
  • kanunue mbili kama hizo nyingine nitampa mke wangu.
hapo lazima unene kwa lughaπŸ™„
 
Mchungaji hapendi ujinga ujinga [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] "
 
kwani kutoa sadaka ni lazima
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…