Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maisha ya kitanzania lissu anaweza kuishi maisha anayoyataka maana pesa za mtanzania wa kati anazo ata hasipo kuwa kiongozi. Unajuwa uwa najiuliza unaiba au kuongwa bilioni kumi au zaidi ili iwe nn? Unataka kuzifanyia kitu gani kama milioni 300 unaweza kuzitumia kwa maisha yako yaliyo baki tena life safi na simple litakalo kupa uhuru wa nafsi why would I bother with betrayal?Itakuwa huyu TL kuna namna ameamua kuyatazama maisha kuwa PESA ni muhimu Sana Ila HAKI ndo muhimu kwanza.
Huo mchele MTU kuamua kuuacha tena mwanasiasa inafikirisha Sana
Stay strong TL.
Hana kilipuzi anawezaje kumlipua Mbowe??Safi sana uhalisia lissu anamtuma msigwa kumlipua mbowe!
Kwa maisha ya kitanzania lissu anaweza kuishi maisha anayoyataka maana pesa za mtanzania wa kati anazo ata hasipo kuwa kiongozi. Unajuwa uwa najiuliza unaiba au kuongwa bilioni kumi au zaidi ili iwe nn? Unataka kuzifanyia kitu gani kama milioni 300 unaweza kuzitumia kwa maisha yako yaliyo baki tena life safi na simple litakalo kupa uhuru wa nafsi why would I bother with betrayal?
Hatukutaka kufanya hivyo kwa sababu za kibinadamu tuThe story is slowly being unfolded. Asante sana!
Hahaha, hai make sense kabisa...Nilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.
Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.
Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
Siri anabaki nayo Lissu ila naye aitoe kwenye Kamati kuu kukisafisha chama.Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Tapeli kuliko yule anayesema watu wana furaha CCM kuwa madarakani!?Tapeli wa maandishi umeanza tena.
nakuelewa vema kabisa. muda mwingine mambo mengine unayaacha in-camera kwa ustawi wa chama kama as per my last thread!Hatukutaka kufanya hivyo kwa sababu za kibinadamu tu
kama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbukeNilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.
Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.
Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
mitu kama nyinyi ni kumipiga block tu maana nothing sensible you can make from themChadema ni wadini na hawafai hata kukaimu ubalozi wa nyumba kumi
Mimi pia nimefikiri hivi, Lissu ameweka hiyo kama kete ya akiba, ipo siku atamwaga mboga kabisaAsante🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia
Wewe unaishi zama za giza kweli... Mambo ya mabalozi ni ulozi wa CCM dhidi ya watanzania, hicho siyo cheo cha kiserikali.Chadema ni wadini na hawafai hata kukaimu ubalozi wa nyumba kumi
Si ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?Asante🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Yanayotokea siku hizi siyo kifutio cha yaliyotokea zama hizo.Si ulisema Polepole alikuwa anahonga wapinzani, umesahau?