Pre GE2025 Mchungaji ndio alimpeleka Abdul kwa Makamu?

Pre GE2025 Mchungaji ndio alimpeleka Abdul kwa Makamu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Politicians have price tags like worst whores in town!
 
Nilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.

Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.

Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
 
Itakuwa huyu TL kuna namna ameamua kuyatazama maisha kuwa PESA ni muhimu Sana Ila HAKI ndo muhimu kwanza.

Huo mchele MTU kuamua kuuacha tena mwanasiasa inafikirisha Sana

Stay strong TL.
Kwa maisha ya kitanzania lissu anaweza kuishi maisha anayoyataka maana pesa za mtanzania wa kati anazo ata hasipo kuwa kiongozi. Unajuwa uwa najiuliza unaiba au kuongwa bilioni kumi au zaidi ili iwe nn? Unataka kuzifanyia kitu gani kama milioni 300 unaweza kuzitumia kwa maisha yako yaliyo baki tena life safi na simple litakalo kupa uhuru wa nafsi why would I bother with betrayal?
 
Nilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.

Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.

Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
 
Kwa maisha ya kitanzania lissu anaweza kuishi maisha anayoyataka maana pesa za mtanzania wa kati anazo ata hasipo kuwa kiongozi. Unajuwa uwa najiuliza unaiba au kuongwa bilioni kumi au zaidi ili iwe nn? Unataka kuzifanyia kitu gani kama milioni 300 unaweza kuzitumia kwa maisha yako yaliyo baki tena life safi na simple litakalo kupa uhuru wa nafsi why would I bother with betrayal?

Absolute na PESA ndo kitu pekee duniani chenye kumfanya MTU kuweza kuupindisha msimamo wake au kukubaliana na msimamo wake.
 
Nilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.

Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.

Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
Hahaha, hai make sense kabisa...

Nyinyi muwe na uchafu wa Msigwa halafu mkae kimya?
 
Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Siri anabaki nayo Lissu ila naye aitoe kwenye Kamati kuu kukisafisha chama.
 
Nilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.

Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.

Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
kama Mbwai na iwe mbwai, mwaga video aumbuke
 
Back
Top Bottom