macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Siyo Msigwa. Ni Wenje. Hizi habari nimepewa na mtu wa uhakika kabisa.Asante🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Msigwa. Ni Wenje. Hizi habari nimepewa na mtu wa uhakika kabisa.Asante🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kuondoa huu utata Lissu apasue hili buyu aeleze ni nani alimpeleka Abdul. Ushahidi anao wa camera na nina uhakika atakuwa amerikodi mazungumzo yao,kwa vile ameamua kulianzisha ni vema alimalizie kabisa vinginevyo ataonekana anaropoka. Tunataka hili swala liishe.Hii haiwezi kuwa sawa maana alianza kulalamika kuhusu Rushwa aliyopewa Sugu na Mama Abdul ili wamuangushe Msigwa. Lissu akiwa Iringa alipigania sana hili. Sasa iweje Msigwa ndiye awe beneti na Abdul ili ampelekee hela Tundu Lissu. Story yako inakosa wanunuzi
Keshajulikana mbonaLissu amseme HADHARANI huyo Mtu aliyempeleka Abdul kwake kwa lengo la kwenda kumhonga.
Endeleeni kufungukaSiyo Msigwa. Ni Wenje. Hizi habari nimepewa na mtu wa uhakika kabisa.
Ndiyo maana nimesema ni wakati sasa Lissu aeleze kila kitu mapema ili tuchukue maamuzi hii kuficha ficha bora angekaa kimya.Siyo Msigwa. Ni Wenje. Hizi habari nimepewa na mtu wa uhakika kabisa.
Hujielewi wewe na hujui nafasi yako kama mwananchiChadema ni wadini na hawafai hata kukaimu ubalozi wa nyumba kumi
Mmmh Kwa iyo no Wacha Mungu sanaWalikukataza kusali?
Tunajadili nyumba za ibada au siasa za manunuzi ya watu?Mmmh Kwa iyo no Wacha Mungu sana
Wenda kweli mkuu Mshana, kuna siku Mchungaji alimganda sana mwana wa Mungu Lissu, kumbe alikua na lake jamboKipindi kile kabla kidogo na baada ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa Msigwa alijinasibisha na Lissu kila mahali alipokuwa .. Ni kipindi ambapo Msigwa alikuwa keshafika bei na kupokea advance! Na ni kipindi ambacho alikuwa anamtafutia Lissu timing ili amsomeshe...
Haijulikani ni lini hasa Msigwa na dalali wake walimvaa Lissu lakini kwa tahadhari ile aliyoitoa Lissu akiwa kwenye mkutano wao hadhara Pale Singida kuhusu pesa chafu kwenye chaguzi za CHADEMA ni wazi ilikuwa ni kipindi hicho na mhusika mkuu alikuwa pasta mchungwaji
Pasta mchungwaji na dalali wake ni wazi walikuwa na list ndefu ya viongozi waliokwisha pokea mlungula lakini ni wazi hiyo list haikuwa genuine na pasta naye alikuwa kaingizwa cha jiji
Ni kwavile tu hatukuwa makini kumwangalia mchungwji siku ile Lissu anaongea kuhusu pesa chafu lakini mlengwa alipata taharuki kwa vyovyote
Baada ya uchaguzi pasta mchungwaji alipigwa chini na ndipo alipozidi kumganda Lissu.. Lissu akimkataa mazima na kuondoka zake Manyara then mapumzikoni Ubelgiji
Hivi anavyohangaika sasa Msigwa ni kutokana na mambo mawili makubwa
1. Kupigwa chini kwenye uchaguzi
2. Kushindwa kumshawishi Lissu apokee rushwa
Kuna mengine madogodogo lakini hayo ndio makubwa
Hapana. Big NO. Angalizo alilotoa linatosha. Ushahidi na maelezo ya kina atatumia muda mwafaka utakapofika. Haya mambo yanachezwa kama chase.Ndiyo maana nimesema ni wakati sasa Lissu aeleze kila kitu mapema ili tuchukue maamuzi hii kuficha ficha bora angekaa kimya.
Habari nyingine ni kuwa Nape alipokuwa waziri alitumia nafasi yake kuunda mtandao wa kikachero wa kurekodi simu za ''mama'' na akagundulika.Endeleeni kufunguka
Mbona Nimesikia Wenje?Kipindi kile kabla kidogo na baada ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa Msigwa alijinasibisha na Lissu kila mahali alipokuwa .. Ni kipindi ambapo Msigwa alikuwa keshafika bei na kupokea advance! Na ni kipindi ambacho alikuwa anamtafutia Lissu timing ili amsomeshe...
Haijulikani ni lini hasa Msigwa na dalali wake walimvaa Lissu lakini kwa tahadhari ile aliyoitoa Lissu akiwa kwenye mkutano wao hadhara Pale Singida kuhusu pesa chafu kwenye chaguzi za CHADEMA ni wazi ilikuwa ni kipindi hicho na mhusika mkuu alikuwa pasta mchungwaji
Pasta mchungwaji na dalali wake ni wazi walikuwa na list ndefu ya viongozi waliokwisha pokea mlungula lakini ni wazi hiyo list haikuwa genuine na pasta naye alikuwa kaingizwa cha jiji
Ni kwavile tu hatukuwa makini kumwangalia mchungwji siku ile Lissu anaongea kuhusu pesa chafu lakini mlengwa alipata taharuki kwa vyovyote
Baada ya uchaguzi pasta mchungwaji alipigwa chini na ndipo alipozidi kumganda Lissu.. Lissu akimkataa mazima na kuondoka zake Manyara then mapumzikoni Ubelgiji
Hivi anavyohangaika sasa Msigwa ni kutokana na mambo mawili makubwa
1. Kupigwa chini kwenye uchaguzi
2. Kushindwa kumshawishi Lissu apokee rushwa
Kuna mengine madogodogo lakini hayo ndio makubwa
Ni yeye aliyeeda hadi ikungi huko. Sio kila jambo utafuniwe. Fukunyua taarifa kisha potezea.Kama inakuja hivi halafu kama inakataa, sasa Kwa nini lissu hamtaji huyo mtu aliyeongozana na Abdul mpaka nyumbani kwake.
Kwanini msizipeleke kwa mamlaka Takukuru Mkuu?.Nilimuomba Lissu mapema ataje aliyempelekea Abdul nikimlenga Msigwa moja kwa moja, kwa vile kikichomkimbiza Chadema ni video zake za kugawa rushwa kwenye Kanda.
Mbowe huyu anayetukanwa ndio amezuia kusambazwa Video za Aibu za Msigwa akigawa rushwa ili kumuokoa.
Hata hivyo akiendelea na ujinga tutavunja protocol
Asante kwa taarifa mkuu, lakini mwenye kuweza kuthibitisha ukweli kuhusu muhusika wa tukio ni Lissu mwenyewe na nadhani kunapoendea ukweli utawekwa wazi kabisa.Ni yeye aliyeeda hadi ikungi huko. Sio kila jambo utafuniwe. Fukunyua taarifa kisha potezea
Kuna Takukuru nchi hii? hao subiri wakikamata nesi Amana akipokea rushwa ya elfu 2 ili kumuosha mgonjwa kidondaKwanini msizipeleke kwa mamlaka Takukuru Mkuu?.
Itashangaza kama kuna hizi tuhuma za matukio yahuyo rushwa alafu Takukuru wakawa wamezipotezea hata kuwaita na kuwahoji napo wamepotezea. Itashangaza na kusikitisha sana.
Tunampinga mwandishi kwa vile ukisikiliza anazungumzia huyo aliyempeleka Abdul kwake yupo CDM. Je, Msigwa yupo CDM sasa? Mshana Jr unajiangusha. Bora kuwa kimya ili utunze heshima yakoSiri anabaki nayo Lissu ila naye aitoe kwenye Kamati kuu kukisafisha chama.
Unajaribu kuhamisha lawama toka kwa "kiongozi wa chama cha upinzani" kwenda kwa Mchungaji Msigwa; jirahidi labda utafanikiwa.Ni Msigwa ila muda wa kumtaja haujatimia
Msigwa ndo muasisi wa rusha ndani ya chadema.Kipindi kile kabla kidogo na baada ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa Msigwa alijinasibisha na Lissu kila mahali alipokuwa .. Ni kipindi ambapo Msigwa alikuwa keshafika bei na kupokea advance! Na ni kipindi ambacho alikuwa anamtafutia Lissu timing ili amsomeshe.
Haijulikani ni lini hasa Msigwa na dalali wake walimvaa Lissu lakini kwa tahadhari ile aliyoitoa Lissu akiwa kwenye mkutano wao hadhara Pale Singida kuhusu pesa chafu kwenye chaguzi za CHADEMA ni wazi ilikuwa ni kipindi hicho na mhusika mkuu alikuwa pasta mchungwaji.
Pasta mchungwaji na dalali wake ni wazi walikuwa na list ndefu ya viongozi waliokwisha pokea mlungula lakini ni wazi hiyo list haikuwa genuine na pasta naye alikuwa kaingizwa cha jiji.
Ni kwavile tu hatukuwa makini kumwangalia mchungwji siku ile Lissu anaongea kuhusu pesa chafu lakini mlengwa alipata taharuki kwa vyovyote
Baada ya uchaguzi pasta mchungwaji alipigwa chini na ndipo alipozidi kumganda Lissu.. Lissu akimkataa mazima na kuondoka zake Manyara then mapumzikoni Ubelgiji.
Hivi anavyohangaika sasa Msigwa ni kutokana na mambo mawili makubwa
1. Kupigwa chini kwenye uchaguzi
2. Kushindwa kumshawishi Lissu apokee rushwa
Kuna mengine madogodogo lakini hayo ndio makubwa