Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu mtumishi kimekuta nini aisee?Mchungaji Nurdin Abdallah ambae ni muinjilisti wa vitabu amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka kwa nyakati tofauti binti yake mwenye umri wa miaka 6.
Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi mwandamizi Erick Kimaro wa mahakama ya wilaya ya Magu amesema mahakama hiyo imejiridhisha pasipo kuwa na shaka kwamba mshtakiwa huyo ametenda kosa hilo.
Ushahidi huo umethibitishwa kupitia mashahidi ambao ni mtoto aliyekuwa anabakwa pamoja na Ushahidi wa daktari aliyeithibitishia mahakama hiyo kuwa ni kweli sehemu za siri za binti huyo zilikuwa zinaonesha ameingiliwa.
View attachment 2595415
Zaidi, soma: Mchungaji Nurdin Abdallah afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumbaka mwanaye wa miaka 6
Ndiyo hivyoNurdin Abdallah anakuwaje mchungaji?
Jina nani? 😡😡😡😡Mchungaji Nurdin Abdallah ambae ni muinjilisti wa vitabu amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka kwa nyakati tofauti binti yake mwenye umri wa miaka 6.
Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi mwandamizi Erick Kimaro wa mahakama ya wilaya ya Magu amesema mahakama hiyo imejiridhisha pasipo kuwa na shaka kwamba mshtakiwa huyo ametenda kosa hilo.
Ushahidi huo umethibitishwa kupitia mashahidi ambao ni mtoto aliyekuwa anabakwa pamoja na Ushahidi wa daktari aliyeithibitishia mahakama hiyo kuwa ni kweli sehemu za siri za binti huyo zilikuwa zinaonesha ameingiliwa.
View attachment 2595415
Zaidi, soma: Mchungaji Nurdin Abdallah afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumbaka mwanaye wa miaka 6
Hali ishakua mbayaaaIla wanaume!!
Si mnasemaga zipo mpaka za buku3, sasa huyo mjomba Abdallah ilikuwaje?
Mnatutisha wakuu, tutaogopa kuwaacha nyumbani na watoto.
Kafanya haya kama kafara la kupata waumin kanisani kwake. Waumini wengi = hela za sadaka nyingiIla wanaume!!
Si mnasemaga zipo mpaka za buku3, sasa huyo mjomba Abdallah ilikuwaje?
Mnatutisha wakuu, tutaogopa kuwaacha nyumbani na watoto.
Waganga wanawaponza hawa wanaofanya huu ushwetani, za buku 2 pia zipo sijui wanakwama wapiIla wanaume!!
Si mnasemaga zipo mpaka za buku3, sasa huyo mjomba Abdallah ilikuwaje?
Mnatutisha wakuu, tutaogopa kuwaacha nyumbani na watoto.
Hata za Bure zipo nashangaa wabakajiIla wanaume!!
Si mnasemaga zipo mpaka za buku3, sasa huyo mjomba Abdallah ilikuwaje?
Mnatutisha wakuu, tutaogopa kuwaacha nyumbani na watoto.
Kahamia ukristoAbdallah anakuaje mchungaji?
Jamaa ina onekana alifuata mnato, ila mnato kwa mtoto aisee hiyo ni mbaya sana .Ila wanaume!!
Si mnasemaga zipo mpaka za buku3, sasa huyo mjomba Abdallah ilikuwaje?
Mnatutisha wakuu, tutaogopa kuwaacha nyumbani na watoto.
Si mnasemaga waruhusiwe kuoa, haya huyu anafamilia kabisa lakini nini hiki?