Mchungaji Nurdin Abdallah jela miaka 30 kwa kumbaka mwanaye

huyu mtumishi kimekuta nini aisee?
 
Jina nani? 😡😡😡😡
 
Nuruddin bin Abdallah, yaani; Mwangaza wa dini bin Mtumishi wa Allah.

Kwa kitendo alichofanya hata hilo jina la "Nuruddin" anatakiwa anyang'anywe.
 
Ila wanaume!!
Si mnasemaga zipo mpaka za buku3, sasa huyo mjomba Abdallah ilikuwaje?

Mnatutisha wakuu, tutaogopa kuwaacha nyumbani na watoto.
Kafanya haya kama kafara la kupata waumin kanisani kwake. Waumini wengi = hela za sadaka nyingi
 
Ila wanaume!!
Si mnasemaga zipo mpaka za buku3, sasa huyo mjomba Abdallah ilikuwaje?

Mnatutisha wakuu, tutaogopa kuwaacha nyumbani na watoto.
Waganga wanawaponza hawa wanaofanya huu ushwetani, za buku 2 pia zipo sijui wanakwama wapi
 
Ila wanaume!!
Si mnasemaga zipo mpaka za buku3, sasa huyo mjomba Abdallah ilikuwaje?

Mnatutisha wakuu, tutaogopa kuwaacha nyumbani na watoto.
Jamaa ina onekana alifuata mnato, ila mnato kwa mtoto aisee hiyo ni mbaya sana .
Depal wewe una mnato ?! Ni heri angekuja kwako tuu mtu mzima mwenzake kuliko kwa mtoto
 
imechafua kuita mvhungaji

ilihar majina yake yote kiislam

huonuchungaji wa kanisa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…