Mchungaji Paul Makonda

Nairobian

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
873
Reaction score
2,281
Haya ni mahubiri ya ndugu Paul Makonda.


Your browser is not able to display this video.
 
Naomba nisiwe sehemu ya kuhukumu maana mambo ya imani na nani aliyemkamilifu mbele za Mungu, anayajua Muumbaji mwenyewe.
Najiondokea kama ifuatavyo... Na aliye mkamilifu aanze kumponda mawe.
 
Na aliye mkamilifu aanze kumponda mawe.
Katika karne zilizopita, manabii wametimiza wajibu wao wakati ambapo wamewaonya watu kuhusu hatari inayokaribia. Mitume wa Mungu kama ilivyo ada huchunga, huonya, na hunyoosha mkono kuwasaidia wale wanaotafuta majibu kwa maswali kuhusu maisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Akitoka hapo tunakutana Maison tunapiga bia
 
Ezekiel 33:6,8,9
6 Bali mlinzi akiona upanga unakuja, kama hapigi tarumbeta, wala watu hawakuonywa, na upanga ukaja ukamwondoa mtu awaye yote miongoni mwao; ameondolewa huyo katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwa mlinzi huyo.

8 Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

9 Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.
 
Naomba nisiwe sehemu ya kuhukumu maana mambo ya imani na nani aliyemkamilifu mbele za Mungu, anayajua Muumbaji mwenyewe.
Najiondokea kama ifuatavyo... Na aliye mkamilifu aanze kumponda mawe.
[emoji23]
 
It is contradicting
Let's believe in Son
 
Haya ni mahubiri ya ndugu Paul Makonda.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚bashite huyu huyu! Ameshatubu? Basi mimi pengine ni askofu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.Yajayo yanachekesha
 
.the other side of the same coin seems to work nicely...

.sikuwa najua kama anajua kuombea namna hiii.
 
Tito 1:16

Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana; ni wenye machukizo, waasi, wala kwa kila tendo jema hawafai.
 
Mkuu wa mkoa ameanzisha kanisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ