Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika karne zilizopita, manabii wametimiza wajibu wao wakati ambapo wamewaonya watu kuhusu hatari inayokaribia. Mitume wa Mungu kama ilivyo ada huchunga, huonya, na hunyoosha mkono kuwasaidia wale wanaotafuta majibu kwa maswali kuhusu maisha.Na aliye mkamilifu aanze kumponda mawe.
[emoji23]Naomba nisiwe sehemu ya kuhukumu maana mambo ya imani na nani aliyemkamilifu mbele za Mungu, anayajua Muumbaji mwenyewe.
Najiondokea kama ifuatavyo... Na aliye mkamilifu aanze kumponda mawe.
😂😂😂😂bashite huyu huyu! Ameshatubu? Basi mimi pengine ni askofu😂😂😂.Yajayo yanachekeshaHaya ni mahubiri ya ndugu Paul Makonda.
huyu alikuwa anawaombea hawa kwa "jina la mungu / miungu" - siyo kwa "jina la Mungu"!
Jina baba wa mbingunihuyu alikuwa anawaombea hawa kwa "jina la mungu / miungu" - siyo kwa "jina la Mungu"!