Mchungaji Peter Msigwa Awatupia CHADEMA Vijembe vya Moto

Mchungaji Peter Msigwa Awatupia CHADEMA Vijembe vya Moto

Ndugu zangu Watanzania,

Hivi Ndivyo Mtumishi wa Mungu peter Msigwa alivyowatupia vijembe CHADEMA

Watu wanapenda kujiita makamanda hapa kwa mitandao (keyboar heros) wamemuacha mwamba anaandamana pekee yake hata watu hamsini hawakufika magomeni. Wapi mwita , Cathetine, maranja,Lutembeka, mwenyekiti wa kanda ya Nyasa wapi Taita! Wapi Big mungai!Hata kama mtachukia hii inasema kitu.Tuna Tanzania ya kuijenga.Niltegemea wale watoa matusi hapa wangekuwa wa kwanza kufika magomeni

🤣
🤣
🤣


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

"Kuna baadhi ya wanasiasa ni "Mesenari" wana tabia za Kimalaya malaya ,wananunulika na kufika bei" - J.K Nyerere
 
Hilo kijembe maana yake nini
AU ANATUPA HASIRA ILI NEXT MAANDAMANO TUPIGANE NA POLISI
 
Back
Top Bottom