britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Ahsante umeelewaHapo napo kakosea!? Hiyo ilikuwa ni semina ya wanawake na huwa anafanya nyingi tu kuwakumbusha wanawake wenzake nini cha kufanya kwa waume zao
Mbezi beach makonde karibu na shule ya libermandaaahhh kanisa lake lipo wapi.. nkatimbe
Mambo ya imani hayo.Huruma ni Kwa hao waumini
π€£π€£π€£π€£Mambo ya imani hayo.
Wao wenyewe wanakuonea huruma wewe π€£
Pastor Rose mchaga machachari sana huyu, walishaondoka Kebbys?Mbezi beach makonde karibu na shule ya liberman
Umeona eeh...yupo π₯π₯π₯Pastor Rose mchaga machachari sana huyu, walishaondoka Kebbys?
Miss you mdogo wangu.
Wanawake naona mnakuja kwa kasiMama huyooo..Ahsanteee..οΏΌ[emoji7][emoji7]
ππππ...Wanawake naona mnakuja kwa kasi