Mchungaji wa kike atamaniha wanaume

daaahhh kanisa lake lipo wapi.. nkatimbe
 
C ana mme kabxa huyu?au ndo kashndwa kumpelekea moto kama vijana aa ss iv wanavyodai?
 
Hapo napo kakosea!? Hiyo ilikuwa ni semina ya wanawake na huwa anafanya nyingi tu kuwakumbusha wanawake wenzake nini cha kufanya kwa waume zao
 
Stupid kabisa. Naona mpaka vitoto vidogo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…