MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Wasukuma 2:5
Nabii hakubaliki nyumbani kwao
Nabii hakubaliki nyumbani kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mbingu zipi unazojua wewe?Mbingu zipo nyingi
Mbingu sabaKuna mbingu zipi unazojua wewe?
Kwa miujiza kama Yesu“Ameenda mbinguni kwa andiko lipi? Tunarudi kwenye Biblia, inasema juu ya habari ya kwenda mbinguni, aliyeenda mbinguni kwa mara ya mwisho ni Yesu nae alibadilishwa sio kwa mwili huu wa chipsi na soseji. Hiyo ni changamoto ya afya ya akili."- Mchungaji Richard Hananja
![]()
Mkuu shida inaanza pale unapohisi kila mtu anaamini Biblia...“Ameenda mbinguni kwa andiko lipi? Tunarudi kwenye Biblia, inasema juu ya habari ya kwenda mbinguni, aliyeenda mbinguni kwa mara ya mwisho ni Yesu nae alibadilishwa sio kwa mwili huu wa chipsi na soseji. Hiyo ni changamoto ya afya ya akili."- Mchungaji Richard Hananja
![]()
Mwamba kasharudi kazini“Ameenda mbinguni kwa andiko lipi? Tunarudi kwenye Biblia, inasema juu ya habari ya kwenda mbinguni, aliyeenda mbinguni kwa mara ya mwisho ni Yesu nae alibadilishwa sio kwa mwili huu wa chipsi na soseji. Hiyo ni changamoto ya afya ya akili."- Mchungaji Richard Hananja
![]()
Yeye alikwendapo ile ya bariyadi kijiji kwa wachawi Gamboshi Mooja hiyo. maandiko yanahusikaje kunako mbingu hiyo?wapi na wapi mwanawane?“Ameenda mbinguni kwa andiko lipi? Tunarudi kwenye Biblia, inasema juu ya habari ya kwenda mbinguni, aliyeenda mbinguni kwa mara ya mwisho ni Yesu nae alibadilishwa sio kwa mwili huu wa chipsi na soseji. Hiyo ni changamoto ya afya ya akili."- Mchungaji Richard Hananja
![]()