Mchungaji Zumaridi ameenda mbinguni kwa andiko gani?

Mchungaji Zumaridi ameenda mbinguni kwa andiko gani?

Ifakara kuna kijiji kinaitwa Mbingu uenda alienda huko kumejaa wasukuma
 
“Ameenda mbinguni kwa andiko lipi? Tunarudi kwenye Biblia, inasema juu ya habari ya kwenda mbinguni, aliyeenda mbinguni kwa mara ya mwisho ni Yesu nae alibadilishwa sio kwa mwili huu wa chipsi na soseji. Hiyo ni changamoto ya afya ya akili."- Mchungaji Richard Hananja



May be an image of 1 person and text that says 'DCtv 1 NEWS AMEENDA MBINGUNI KWA ANDIKO LIPI @danchibotv @da''DCtv 1 NEWS AMEENDA MBINGUNI KWA ANDIKO LIPI @danchibotv @da'
Kwa miujiza kama Yesu
 
Imeandikwa: “ MBINGUNI hakuna kuoa wala kuolewa”

Sasa huko kusema Mtume Petro sijui Paulo alitaka kumuoa kunatoka wapi?

Labda awachuze wasoyajua Maandiko Matakatifu.
 
“Ameenda mbinguni kwa andiko lipi? Tunarudi kwenye Biblia, inasema juu ya habari ya kwenda mbinguni, aliyeenda mbinguni kwa mara ya mwisho ni Yesu nae alibadilishwa sio kwa mwili huu wa chipsi na soseji. Hiyo ni changamoto ya afya ya akili."- Mchungaji Richard Hananja



May be an image of 1 person and text that says 'DCtv 1 NEWS AMEENDA MBINGUNI KWA ANDIKO LIPI @danchibotv @da''DCtv 1 NEWS AMEENDA MBINGUNI KWA ANDIKO LIPI @danchibotv @da'
Mkuu shida inaanza pale unapohisi kila mtu anaamini Biblia...
Ukienda bishana na Mhindu utatumia reference ya Biblia? Je, Budha?
Kitu kimoja ambacho huwa nawapenda ndugu zangu Waislamu, kwakuwa huwa wanajua Wakristo wengi hawasomi kitabu nje ya Biblia basi huwa wanaisoma hiyo hiyo biblia kujenga hoja zao.
 
“Ameenda mbinguni kwa andiko lipi? Tunarudi kwenye Biblia, inasema juu ya habari ya kwenda mbinguni, aliyeenda mbinguni kwa mara ya mwisho ni Yesu nae alibadilishwa sio kwa mwili huu wa chipsi na soseji. Hiyo ni changamoto ya afya ya akili."- Mchungaji Richard Hananja



May be an image of 1 person and text that says 'DCtv 1 NEWS AMEENDA MBINGUNI KWA ANDIKO LIPI @danchibotv @da''DCtv 1 NEWS AMEENDA MBINGUNI KWA ANDIKO LIPI @danchibotv @da'
Yeye alikwendapo ile ya bariyadi kijiji kwa wachawi Gamboshi Mooja hiyo. maandiko yanahusikaje kunako mbingu hiyo?wapi na wapi mwanawane?
 
Back
Top Bottom