Songwe Yetu
Member
- Nov 22, 2021
- 84
- 99
Katika vitu ambavyo Katibu Mkuu wa TAMISEMI anakosea kulifanya suala la uhamisho wa wafanyakazi kwa matakwa yake amekuwa hatoi uhamisho majina ya wanaohama kwa wakati.
Mfano sasa hivi kigezo cha mtumishi kuhama ni kwa kubadilishana lakini hata hivyo amekuwa akitoa majina ya uhamisho pindi anavyojisikia.
Mpaka sasa hajatoa majina ya waalimu wanaohama nadhani umekuwa ni utaratibu wake(shemdoe) Amekuwa mkiritimba kila kitu anataka afanye yeye wenzake wanamlalamikia.
Aruhusu wafanye kazi wabadilishane vituo kwani utaratibu huu ni wa kawaida anatoka mtu anaingia mtu. Sasa yeye ndo amekuwa tamisemi master.
Wa kila kitu kuanzia mchakato unapoanza mpk mwisho, kuna wakati wa jafo watu walipiga kelele chuo kimoja cha Tanga(ekenford) na Moshi(MAMIRE TC) majina yao kuonekana sana katika ajira kwa nadhania alipoingia huyu katibu mkuu alirekebisha na alijitahidi sana katika hilo lakini suala la uhamisho nadhania analiendesha kama anaendesha familia yake maaana haiwezeka mda wa miezi 6 unatoa majina machache .
Rais Samia shugulika na huyu
Mfano sasa hivi kigezo cha mtumishi kuhama ni kwa kubadilishana lakini hata hivyo amekuwa akitoa majina ya uhamisho pindi anavyojisikia.
Mpaka sasa hajatoa majina ya waalimu wanaohama nadhani umekuwa ni utaratibu wake(shemdoe) Amekuwa mkiritimba kila kitu anataka afanye yeye wenzake wanamlalamikia.
Aruhusu wafanye kazi wabadilishane vituo kwani utaratibu huu ni wa kawaida anatoka mtu anaingia mtu. Sasa yeye ndo amekuwa tamisemi master.
Wa kila kitu kuanzia mchakato unapoanza mpk mwisho, kuna wakati wa jafo watu walipiga kelele chuo kimoja cha Tanga(ekenford) na Moshi(MAMIRE TC) majina yao kuonekana sana katika ajira kwa nadhania alipoingia huyu katibu mkuu alirekebisha na alijitahidi sana katika hilo lakini suala la uhamisho nadhania analiendesha kama anaendesha familia yake maaana haiwezeka mda wa miezi 6 unatoa majina machache .
Rais Samia shugulika na huyu