Mchunguzeni huyu kwanini anaharibu maisha ya watu. Rais ikikupendeza unaweza ukamhamisha hapo TAMISEMI

Mchunguzeni huyu kwanini anaharibu maisha ya watu. Rais ikikupendeza unaweza ukamhamisha hapo TAMISEMI

Hilo ndilo tatizo kubwa. Akienda kuomba kazi anaweka mikono nyuma na kusema atafanya kazi kokote ndani ya Jamhuri ya Muungano. Akipangiwa Namanyere ama Mtambaswala, anaenda kuripoti anachukua hela kisha anasingizia anaumwa figo na daktari wake yupo Muhimbili hivyo ahamishiwe Muhimbili!
Wanataka KM awe anatoa majina kila siku? Nadhani anafanya vyema ili kwanza aangalie idadi ya wanataka kuhama kwa kubadilishana ili atoe majina mengi kwa wakati mmoja badala ya kutoa majina kila siku.
Shida hakuna usawa katika mazingira ya kazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Katika vitu ambavyo Katibu Mkuu wa TAMISEMI anakosea kulifanya suala la uhamisho wa wafanyakazi kwa matakwa yake amekuwa hatoi uhamisho majina ya wanaohama kwa wakati.

Mfano sasa hivi kigezo cha mtumishi kuhama ni kwa kubadilishana lakini hata hivyo amekuwa akitoa majina ya uhamisho pindi anavyojisikia.

Mpaka sasa hajatoa majina ya waalimu wanaohama nadhani umekuwa ni utaratibu wake(shemdoe) Amekuwa mkiritimba kila kitu anataka afanye yeye wenzake wanamlalamikia.

Aruhusu wafanye kazi wabadilishane vituo kwani utaratibu huu ni wa kawaida anatoka mtu anaingia mtu. Sasa yeye ndo amekuwa tamisemi master.

Wa kila kitu kuanzia mchakato unapoanza mpk mwisho, kuna wakati wa jafo watu walipiga kelele chuo kimoja cha Tanga(ekenford) na Moshi(MAMIRE TC) majina yao kuonekana sana katika ajira kwa nadhania alipoingia huyu katibu mkuu alirekebisha na alijitahidi sana katika hilo lakini suala la uhamisho nadhania analiendesha kama anaendesha familia yake maaana haiwezeka mda wa miezi 6 unatoa majina machache .

Rais Samia shugulika na huyu
Majina wanatoa kila quarter mkuu
 
Back
Top Bottom