demba mambo ni aje............... Kaizer unampigiaga hizi vtu
ahsante mpenzi nikipata wasaa nitajaribu pishi hiliApo badala ya viazi unaweka mayai. Hata biriani pia unaweka
siku nkipika ntakuwekea uone mpenzi yaani ni kawaida tu hauweki nyama we unapika pilau bubu bila nyama ile ukitaka kufunikia unaweka mayai ya kuchemsha katikati daaaamn tamu balaa afu upate na juice ya chungwa au mixer mango na passion mweee umpikie Kaizer usisahau kudondoshe yale maji yetu
KOKUTONA huyu mbaba akinenepa zaidi ya hapo, si atapasuka na kuachwa na Lady doctor?
Arushaone unataka kunenepa kama Mzee wa Rula?Wewe mbaba wewe!!!!!!! Natamani sana ninenepe afu wewe unatania hapa kuwa mimi mnene???? Siku nikinenepa tu nikafikia hata unene wa Mzee wa Rula hakika nitafurahi sana. Ila mafood nayopewa na shemejio Lady doctor soon nitafikia jumbo lile.
CC KOKUTONA
KOKUTONA huyo mwache hana siku nyingi utasikia kilio apaArushaone unataka kunenepa kama Mzee wa Rula?
Kaizer unamsikia huyu m baba? Mi simo kwa kweli....maana hata kwenye NOAH utakuwa hutoshi
usijali my wii
ha ha yakate katikati kila mtu ale nusu yai lol
arushaone unataka kunenepa kama mzee wa rula?
kaizer unamsikia huyu m baba? Mi simo kwa kweli....maana hata kwenye noah utakuwa hutoshi