Mchuzi wa mayai!

Mchuzi wa mayai!

siku nkipika ntakuwekea uone mpenzi yaani ni kawaida tu hauweki nyama we unapika pilau bubu bila nyama ile ukitaka kufunikia unaweka mayai ya kuchemsha katikati daaaamn tamu balaa afu upate na juice ya chungwa au mixer mango na passion mweee umpikie Kaizer usisahau kudondoshe yale maji yetu

hahahaa mi nimeshakunywa maji ya baraka...hayo hayafanyi kazi amu....afu usimfundishe kichuna wangu 'ushirikina'
 
Last edited by a moderator:
hahahaa mi nimeshakunywa maji ya baraka...hayo hayafanyi kazi amu....afu usimfundishe kichuna wangu 'ushirikina'

weee lazima nimpe maujanja shosti watu kama nyie mumekuwa adimu sana jamani lazima akudhibiti akilegeza kidogo tu umechoropoka.Au vipi DEMBA ?
 
Last edited by a moderator:
Wewe mbaba wewe!!!!!!! Natamani sana ninenepe afu wewe unatania hapa kuwa mimi mnene???? Siku nikinenepa tu nikafikia hata unene wa Mzee wa Rula hakika nitafurahi sana. Ila mafood nayopewa na shemejio Lady doctor soon nitafikia jumbo lile.

CC KOKUTONA
Arushaone unataka kunenepa kama Mzee wa Rula?
Kaizer unamsikia huyu m baba? Mi simo kwa kweli....maana hata kwenye NOAH utakuwa hutoshi
 
Last edited by a moderator:
weee lazima nimpe maujanja shosti watu kama nyie mumekuwa adimu sana jamani lazima akudhibiti akilegeza kidogo tu umechoropoka.Au vipi DEMBA ?

habari ndio hiyo shostito. hawa bila vimaji mbona utajikuta bila bila.
 
hahahaa mi nimeshakunywa maji ya baraka...hayo hayafanyi kazi amu....afu usimfundishe kichuna wangu 'ushirikina'
beby usiogope hivyo vimaji ni kwa ajili ya wewe kunipenda sana? au hutaki kunipenda sana?
 
Back
Top Bottom