Mchuzi wa mayai!

Asante kwa chakula kitamu.... kwani hayo mayai uliyakata au yalikwua mazima mazima<<<:help:
 

nilisikia mayai yana kawaida ya kukufanya uwe unapumulia sana wowowo.
Hapo ilikuwaje kwa upande wako?
Au kwa sababu ilikua usiku na ukizingatia unalala mwenyewe kwa hiyo shuka zilikiona cha mtema kuni?
Eti?
Nimeuliza tu jamani usinirushie mawe
 
Last edited by a moderator:
nilisikia mayai yana kawaida ya kukufanya uwe unapumulia sana wowowo.
Hapo ilikuwaje kwa upande wako?
Au kwa sababu ilikua usiku na ukizingatia unalala mwenyewe kwa hiyo shuka zilikiona cha mtema kuni?
Eti?
Nimeuliza tu jamani usinirushie mawe

hujui kwamba hiyo ni tiba.Ushamba tu unazingua bila kupumua wewe usingeishi
 
Ha ha haaa......we acha tu, hizi big family hiziii

mamii ndo family zetu za kiafrika.nakumbuka sie home mama alikuwa anapika kwa rice cooker tena anapondea mayai humohumo kwa wali wali ukiiva unakuwa mtamu balaaa.Bajet family kubwa.
 

amu mimi hujanitaja...!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…