Mchuzi wa yai: Hufaa kuliwa na wali, mabachela unawahusu

Mchuzi wa yai: Hufaa kuliwa na wali, mabachela unawahusu

Na ile ya kuyachemsha kwanza alafu unayamenya , unaweka sufuria jikon ,mafuta ,nyanya ,kitunguu, unaacha viive alafu unayaweka Yale mayai ulikua umeyachemsha unaacha hadi viive vyote
Unaweza kula na wali tamu sana
Hii ya kuchemsha me ninawekaga had nazi, ni tamu kweli, mboga rahisi sana.

Wa mkoani hawakawii kuja hapa na kusema mboga za watu wa dar.
 
Na ile ya kuyachemsha kwanza alafu unayamenya , unaweka sufuria jikon ,mafuta ,nyanya ,kitunguu, unaacha viive alafu unayaweka Yale mayai ulikua umeyachemsha unaacha hadi viive vyote
Unaweza kula na wali tamu sana
Alafu uweke na nazi daahhh, utakula "watoto" wa mwenye nyumba mpaka notice ikukumbe,.
 
Sijawahi kujaribu yai la nazi, kweli tunajifunza kila siku
 
Mboga tamu kazi ni apo kwenye kukatakata viungo alafu kila viungo na sahani yake ukianza kufikilia kuosha ivyo vyombo du sio vichafu kivile but kuviosha ndo kazi
 
Vyuma vimekaza, hii ni njia rahisi ya kupata balanced diet yenye protein. Ni mlo wa mayai mawili. Mods si kuona jukwaa la mapishi.

Kata kitunguu, nyanya, hoho, uviweke sehem tofauti kwenye sahani.

kaanga kitunguu mpaka kuwe na rangi ya hudhurungi, weka nyanya acha ziive, weka hoho usiiache iive, ni nzuri kuliwa ikiwa crunch.

Vunja mayai uyamimine kwenye mchanganyiko huu bila kuyapiga. Acha yaive bila kukoroga mpaka ya settle.

Ukiyapiga au kukoroga yana kuwa kama matapishi. Unaweza kuweka maggi na chumvi kidogo kuleta ladha.

Nilifundishwa na shost m-Ghana enzi za mchacho wa shule na tulikula mboga hii na wali.
Hii naifanyia majaribio kesho
 
Vyuma vimekaza, hii ni njia rahisi ya kupata balanced diet yenye protein. Ni mlo wa mayai mawili. Mods si kuona jukwaa la mapishi.

Kata kitunguu, nyanya, hoho, uviweke sehem tofauti kwenye sahani.

kaanga kitunguu mpaka kuwe na rangi ya hudhurungi, weka nyanya acha ziive, weka hoho usiiache iive, ni nzuri kuliwa ikiwa crunch.

Vunja mayai uyamimine kwenye mchanganyiko huu bila kuyapiga. Acha yaive bila kukoroga mpaka ya settle.

Ukiyapiga au kukoroga yana kuwa kama matapishi. Unaweza kuweka maggi na chumvi kidogo kuleta ladha.

Nilifundishwa na shost m-Ghana enzi za mchacho wa shule na tulikula mboga hii na wali.
Unatia kapicha au kavisual audio sasa siku nyingine Sktly Eclat
 
Vyuma vimekaza, hii ni njia rahisi ya kupata balanced diet yenye protein. Ni mlo wa mayai mawili. Mods si kuona jukwaa la mapishi.

Kata kitunguu, nyanya, hoho, uviweke sehem tofauti kwenye sahani.

kaanga kitunguu mpaka kuwe na rangi ya hudhurungi, weka nyanya acha ziive, weka hoho usiiache iive, ni nzuri kuliwa ikiwa crunch.

Vunja mayai uyamimine kwenye mchanganyiko huu bila kuyapiga. Acha yaive bila kukoroga mpaka ya settle.

Ukiyapiga au kukoroga yana kuwa kama matapishi. Unaweza kuweka maggi na chumvi kidogo kuleta ladha.

Nilifundishwa na shost m-Ghana enzi za mchacho wa shule na tulikula mboga hii na wali.
Ila mimi huwa nayapiga na huwa yakikaa yanaproduce maji maji ambayo ni sauce inasaidia wakati wa kula na ubwabwa au ndizi zilizosongwa.
 
Ila mimi huwa nayapiga na huwa yakikaa yanaproduce maji maji ambayo ni sauce inasaidia wakati wa kula na ubwabwa au ndizi zilizosongwa.
Ndizi zilizosongwa ulisha wahi kula na nyama ya moshi, unachukua jiko la mkaa unapanga maganda ya ndizi juu, unaweza nyama juu yake. Ikipata moshi unaitoa unaacha ipoe unakata na jutengeneza mchuzi wa kulia ndizi
 
Vyuma vimekaza, hii ni njia rahisi ya kupata balanced diet yenye protein. Ni mlo wa mayai mawili. Mods si kuona jukwaa la mapishi.

Kata kitunguu, nyanya, hoho, uviweke sehem tofauti kwenye sahani.

kaanga kitunguu mpaka kuwe na rangi ya hudhurungi, weka nyanya acha ziive, weka hoho usiiache iive, ni nzuri kuliwa ikiwa crunch.

Vunja mayai uyamimine kwenye mchanganyiko huu bila kuyapiga. Acha yaive bila kukoroga mpaka ya settle.

Ukiyapiga au kukoroga yana kuwa kama matapishi. Unaweza kuweka maggi na chumvi kidogo kuleta ladha.

Nilifundishwa na shost m-Ghana enzi za mchacho wa shule na tulikula mboga hii na wali.
Mboga yangu hii naipenda sana
 
Ndizi zilizosongwa ulisha wahi kula na nyama ya moshi, unachukua jiko la mkaa unapanga maganda ya ndizi juu, unaweza nyama juu yake. Ikipata moshi unaitoa unaacha ipoe unakata na jutengeneza mchuzi wa kulia ndizi
Dada sky... Sijaelewa
 
Mimi hyo huwa nakaanga kwanza mayai kwanza na vitunguu, then ndo natia hyo nyanya, namaliza na hoho, hatari sana kwenye wali hii kituu.Asante Sky kwa kuileta hapa
 
Hii ya kuchemsha me ninawekaga had nazi, ni tamu kweli, mboga rahisi sana.

Wa mkoani hawakawii kuja hapa na kusema mboga za watu wa dar.
Aaaaah ww tutake radhi,, vyuma vimekaza kotekote iyo mboga tunakula sana tunawashinda na nyie wa dar
 
Back
Top Bottom