MCL: Kiboko ya Wachawi aja na namna mpya ya upigaji

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Your browser is not able to display this video.

Licha ya Serikali kulifungia Kanisa la Christian Life (CLC), lililoongozwa na Dominique Dibwe maarufu kama ‘Kiboko ya Wachawi’, imebainika kiongozi huyo wa dini anaendelea kutoa huduma hiyo, huku akiomba mamilioni ya fedha kwa waumini wake.

Tofauti na awali, Dibwe ambaye ni raia wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo (DRC) kwa sasa anatoa huduma ya maombezi na kile anachokiita uponyaji kwa njia ya simu, akiomba kulipwa mamilioni hayo kwa waumini wenye matatizo.

Kwa sababu hiyo hiyo ya kutoza fedha kuanzia Sh500,000 kwa waumini wake ili awape huduma ya uponyaji wa kiroho, ndiyo iliyoifanya Serikali ilifutie usajili wa kanisa lake, Julai 25, 2024.
 
HILI NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina KASIMU na MWIGULU mwende mkaliangalie hili tuone "tunakwenda vipi".

Tumeanza kusikia "vijikelele kelele" vya utapeli wa NABII, angalieni jinsi ya KUBORESHA ili na sisi sErEkalE tupate kodi yetu.

MKINIKUNA NITAWAKUNA.
 
Anaendelea kuwapiga wajinga
 
Tofauti na awali, Dibwe ambaye ni raia wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo (DRC) kwa sasa anatoa huduma ya maombezi na kile anachokiita uponyaji kwa njia ya simu, akiomba kulipwa mamilioni hayo kwa waumini wenye matatizo.
Laurence Masha anasemaje
Je alichoendea kimepata majibu?
 

Hii ni maajabu
 
Duh,
Huyo Mkongo anakamua kondoo vikali mno.
Anacho kibali cha kuishi nchini?
 
🤣🤣🤣🤣We jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…