Ndiyo maana kila siku nasema wewe ni kichwa maji.Kosa lake ni lipi ikiwa watu wanatuma kwa ridhaa yao bila kushikiwa bunduki!
Waaache waliwe tuKosa lake ni lipi ikiwa watu wanatuma kwa ridhaa yao bila kushikiwa bunduki!
Nikisema mke sina .Poor Brain njoo umuone mkeo alichoandika
Huyo ni bibi yako sioNikisema mke sina .
Wanasema oooh mi nazingua
Akaaa hapana kwa kweli wee mtu kila siku anajadili mambo ya ajabu tuu πππHuyo ni bibi yako sio
Hivi huyu member huo ni KE au ME?HILI NALO MKALITAZAME.
Nawaagiza akina KASIMU na MWIGULU mwende mkaliangalie hili tuone "tunakwenda vipi".
Tumeanza kusikia "vijikelele kelele" vya utapeli wa NABII, angalieni jinsi ya KUBORESHA ili na sisi sErEkalE tupate kodi yetu.
MKINIKUNA NITAWAKUNA.
πππwewe siku nitatafuta nauli nije nikuzoomAkaaa hapana kwa kweli wee mtu kila siku anajadili mambo ya ajabu tuu πππ
Weeee Poor Brain mkeo ni jinsia gani anaulizwa hukuHivi huyu member huo ni KE au ME?
Njooo njoo nauli hata leo natuma...πππwewe siku nitatafuta nauli nije nikuzoom
πππππ Huyo anachotafuta atakipata wallah tenaWeeee Poor Brain mkeo ni jinsia gani anaulizwa huku
ππΎππΎππππΎββοΈπππππ Huyo anachotafuta atakipata wallah tena
Mxiuuu πππΎββοΈππΎNjooo njoo nauli hata leo natuma...
Mana na hami ya kuombewa.mama mtumishi πππππππ
Unaweza kutuma kwa ridhaa yako ila ikawa ni kwa njia ya utapeli au ulaghai.Kosa lake ni lipi ikiwa watu wanatuma kwa ridhaa yao bila kushikiwa bunduki!
Ataporomoshewa matusi huyo....ππΎππΎππππΎββοΈ
Hahahaha π π π π π π π π π π π π πAtaporomoshewa matusi huyo....
Mwenzako nimekuta ame nitag kwa mambo ya ajabu hayo..
Ukifungua tag ya BICHWA KOMWE - ndani ya daradala mbona waty watakwambia ushuke...
Nashangaaa. Serikali badala ya kufanya majukumu yake inadandia mambo ya watuKosa lake ni lipi ikiwa watu wanatuma kwa ridhaa yao bila kushikiwa bunduki!