MCL: Kiboko ya Wachawi aja na namna mpya ya upigaji

Kosa lake ni lipi ikiwa watu wanatuma kwa ridhaa yao bila kushikiwa bunduki!
Ndiyo maana kila siku nasema wewe ni kichwa maji.

Tatizo si kutuma kwa ridhaa. Changamoto ni ulaghai wa kutozwa fedha huku akijua fika hakuna analoweza kufanya.

Mwandishi kajifanya, huku haumwi hata mafua. Yeye anamuambia kuna mdudu anatembea sijui wapi na hana muda atakufa.

Anajipatia fedha kwa njia ya udanganyifu..huo ni UTAPELI.

Bladfaken..
 
Huyu Mkongo tapeli mkubwa sanaa, kwanini hakukamatwa na kufungwa?
 
Kwamba laki tatu haiwezi kusaidia chochote,Ila wachungaji .πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
sadaka imekuwa ni yaku bargain nayo siku izi na wapokea sadaka na sio tena kutoa ulichonacho wewe kama zamani.
 
Hivi huyu member huo ni KE au ME?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wewe siku nitatafuta nauli nije nikuzoom
Njooo njoo nauli hata leo natuma...
Mana na hami ya kuombewa.mama mtumishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Njooo njoo nauli hata leo natuma...
Mana na hami ya kuombewa.mama mtumishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
Mxiuuu πŸ˜‚πŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸ™ŒπŸΎ
 
πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
Ataporomoshewa matusi huyo....
Mwenzako nimekuta ame nitag kwa mambo ya ajabu hayo..

Ukifungua tag ya BICHWA KOMWE - ndani ya daradala mbona waty watakwambia ushuke...
 
Ataporomoshewa matusi huyo....
Mwenzako nimekuta ame nitag kwa mambo ya ajabu hayo..

Ukifungua tag ya BICHWA KOMWE - ndani ya daradala mbona waty watakwambia ushuke...
Hahahaha πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…