MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Hawa viongozi wangekuwa wanapigwa Adhabu ka.a mfano kwa jamii
 
Kwani kitendo hicho kilitokea wapi?. Kama walikubaliana na kwenda Hotelini kuna mbaya gani?. Kwani alimlazimisha ?.
Hadi kushtaki ina maana alishinikizwa la sivyo asingefikia huko. Mkuu wa mkoa ni lazima ujilinde, utapotezwa kisiasa hata km ni makubaliano lakini si vyema mkuu kuwa na vimada ovyo ovyo.

 
Muhaya mwenzio huyo mkuu 😂😂😂.. Mmakonde kamkomesha 😂
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
thibitisha. alishakuomba mpalange?
 
Na Mwanafunzi wa chuo cha Saut akubali kulawitiwa, wote washitakiwe kwa kulawiti na kulawitiwa (unnatural offence) kama Amber Rutty na bwanake ila adhabu wasipunjwe miaka iliyowekwa na sheria wafungwe hiyo hiyo 30.
 
Na Mwanafunzi wa chuo cha Saut akubali kulawitiwa, wote washitakiwe kwa kulawiti na kulawitiwa (unnatural offence) kama Amber Rutty na bwanake ila adhabu wasipunjwe miaka iliyowekwa na sheria wafungwe hiyo hiyo 30.
Duh! Ikitokea hivyo , basi binti atajilaumu kweli kwa hatua aliyochukua.
 
Huyo awezi kuwa victim pekee, serikali kama ina nia kweli ya kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka washawishi na wengine wajitokeze idadi itakuwa kubwa.

Lazima anatabia ya ubakaji kwa muda mrefu huyo mtu wa hovyo; ni muda wa kutengeneza database ya rapists offenders.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…