Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Rea na usambazaji umeme uligeuka mradi wa manufaa ya kakikundi au himaya fulani,binafsi ni mhanga wa habari hizo za ama usubiri rea au ununue nguzo ili kupata huduma, Hivyo ni wakati sahihi wa kuifahamisha jamii kuwa rea ni nini na inafanyaje kazi na hiyo habari ya kununulishwa nguzo iliyopo nje ya rea ni nini?Tunaondoa sukuma gang taratiiiibu bila kusababisha maumivu.
Acha ujinga nani kakwambia ccm imeshinda uchaguziHii ni roho mbaya au, huyu mtu amefikisha umeme karibu vijiji vyote Tanzania, akasababisha ccm kushinda uchaguzi, alikuwa mchapakazi, nimekuwa namuona yeye amepiga kazi, tanesco sawa kilikuwa na shida gani, amefanya kazi na kufikia malengo yake, sijui ni kabila gani Ila nasikia ni msukuma, je ndo mambo ya kuondoa timu mwendazake au Kuna vijiji zaidi alishindwa.
Siro kasema
Rejea jina lako mtoa uzi...,ni mabadiliko tu.Hii ni roho mbaya au, huyu mtu amefikisha umeme karibu vijiji vyote Tanzania, akasababisha ccm kushinda uchaguzi, alikuwa mchapakazi, nimekuwa namuona yeye amepiga kazi, tanesco sawa kilikuwa na shida gani, amefanya kazi na kufikia malengo yake, sijui ni kabila gani Ila nasikia ni msukuma, je ndo mambo ya kuondoa timu mwendazake au Kuna vijiji zaidi alishindwa.
Mimi naona REA ilikuwa inapelekwa kanda ya ziwa tu!,..kwingine tulisahaulika.,Hii ni roho mbaya au, huyu mtu amefikisha umeme karibu vijiji vyote Tanzania, akasababisha ccm kushinda uchaguzi, alikuwa mchapakazi, nimekuwa namuona yeye amepiga kazi, tanesco sawa kilikuwa na shida gani, amefanya kazi na kufikia malengo yake, sijui ni kabila gani Ila nasikia ni msukuma, je ndo mambo ya kuondoa timu mwendazake au Kuna vijiji zaidi alishindwa.
Itakuwa kweli nasikia Kuna mikoa imekosa Rea hasa ya Kanda ya Kaskazini na kusini , huu ukanda hatari,Mimi naona REA ilikuwa inapelekwa kanda ya ziwa tu!,..kwingine tulisahaulika.,
..hebu jiulize Kalemani ameshawahi tangu lini kutembelea nyanda za juu kusini?
2025 Chagua upinzani, CCM kwishney!Kuna mambo yasiyoeleweka kwenye uteuzi huu. Kumtoa huyo jamaa na aliyekuwa Waziri wake, Mr kalemani, ni jambo linahitaji kufukunyua kujua tatizo ni nini
Siri mtungi aijuaye ni kataKuna mambo yasiyoeleweka kwenye uteuzi huu. Kumtoa huyo jamaa na aliyekuwa Waziri wake, Mr kalemani, ni jambo linahitaji kufukunyua kujua tatizo ni nini
Mtumishi wa genge yule,kutimiza wajibu ndio Kazi anayolipwaHii ni roho mbaya au, huyu mtu amefikisha umeme karibu vijiji vyote Tanzania, akasababisha ccm kushinda uchaguzi, alikuwa mchapakazi, nimekuwa namuona yeye amepiga kazi, tanesco sawa kilikuwa na shida gani, amefanya kazi na kufikia malengo yake, sijui ni kabila gani Ila nasikia ni msukuma, je ndo mambo ya kuondoa timu mwendazake au Kuna vijiji zaidi alishindwa.
Mnyamwezi wa SikongeHii ni roho mbaya au, huyu mtu amefikisha umeme karibu vijiji vyote Tanzania, akasababisha CCM kushinda uchaguzi, alikuwa mchapakazi, nimekuwa namuona yeye amepiga kazi, Tanesco sawa kulikuwa na shida gani, amefanya kazi na kufikia malengo yake, sijui ni kabila gani Ila nasikia ni msukuma, je ndo mambo ya kuondoa timu mwendazake au Kuna vijiji zaidi alishindwa.
Kumbe ni sukuma gangMnyamwezi wa Sikonge
..hiyo REA ilikuwa kwa ajili ya lake zone a.k.a sukuma GangItakuwa kweli nasikia Kuna mikoa imekosa Rea hasa ya Kanda ya Kaskazini na kusini , huu ukanda hatari,
Mama anasafisha gentle and smart i like her way of cleaning, Popote ulipowekwa kwa mbeleko Anza kufungasha Virago REA pana madudu sana kuanzia walipewa Contract ni Uhuni Mwingi Mpaka procurements material ni Giza nene leo ukiambiwa fulani ni bilionea ujue ndo ivo
Rea na usambazaji umeme uligeuka mradi wa manufaa ya kakikundi au himaya fulani,binafsi ni mhanga wa habari hizo za ama usubiri rea au ununue nguzo ili kupata huduma, Hivyo ni wakati sahihi wa kuifahamisha jamii kuwa rea ni nini na inafanyaje kazi na hiyo habari ya kununulishwa nguzo iliyopo nje ya rea ni nini?