Dig the EA
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 287
- 279
Mbona kanda ya ziwa maeneo mengi ya Shinyanga, Geita, Mwanza hayana umeme na rushwa inaombwa sana huko huko- hii iko kote tuItakuwa kweli nasikia Kuna mikoa imekosa Rea hasa ya Kanda ya Kaskazini na kusini , huu ukanda hatari,
Sent from my TECNO W1 using JamiiForums mobile app