Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa huyu wangu two weeks zmepita lkn waapi!!Baada ya wiki mbili
kwa watu wachache huwa kinawahi hata siku ya 10 kinasomaUwezo wa kipimo cha UPT kusoma ni ujauzito wa wiki mbili
Ambazo ni siku 14 chini ya hapo kinaonyesha negative.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda sio mimba, au mkojo uko'diluted sana, kama anataka kupima inashauriwa kutumia mkoja wa asubuhi tu ili kabla ya kunywa chochote.Nashangaa huyu wangu two weeks zmepita lkn waapi!!
Ngoja niongeze dawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa kunifahamisha hilo.Huenda sio mimba, au mkojo uko'diluted sana, kama anataka kupima inashauriwa kutumia mkoja wa asubuhi tu ili kabla ya kunywa chochote.
Lakini pia mara moja moja, kuna tatizo moja wanaita Hydatidiform mole huwa homoni za hCG zinakuwa juu sana kwenye mkojo kiasi cha kwamba kipimo kinashindwa kusoma vizuri kinaonesha negative (false negative).
Sent using Jamii Forums mobile app