Mhenga Gilona
Member
- Aug 19, 2017
- 93
- 88
Habari mabibi na mabwana !!
Nimekuwa single kwa muda mrefu kwa sasa nimeona ni vyema kama nikapata mtu wa karibu wa kuweza kushare mambo mbalimbali. Hivyo naomba kama kuna mwanamke aliye single pia na angependa apate mtu ani-PM. Umri ni wowote ila isiwe zaidi ya 30,mimi nina miaka 25 kuelekea 26.
Sifa zangu ni mweusi wa wastani, mwili wa kawaida na ni mrefu. Tabia ni mpole na ninayejali kwa sasa nipo Dar
Nimekuwa single kwa muda mrefu kwa sasa nimeona ni vyema kama nikapata mtu wa karibu wa kuweza kushare mambo mbalimbali. Hivyo naomba kama kuna mwanamke aliye single pia na angependa apate mtu ani-PM. Umri ni wowote ila isiwe zaidi ya 30,mimi nina miaka 25 kuelekea 26.
Sifa zangu ni mweusi wa wastani, mwili wa kawaida na ni mrefu. Tabia ni mpole na ninayejali kwa sasa nipo Dar