Mdada gani unaetamani awe wako?

Jamani mi bila kubebanisha maneno wala kujiumauma ulimi..... [HASHTAG]#Evelyn[/HASHTAG] salt anavuruga sana akili yangu, yani kama tungekuwa single (japo cjui kwa upande wake) ningemsaka popote pale, kwa jinsi ya comment zake humu na mi ninavojijua nilivyo naamin tungeunda couple moja kali sana ambayo ingesababisha watu kupenda kuja kututembelea kwetu
 
Huku hakuna wa kuwa naye maishani.. No way, ila kuna nnaowish kuwagegeda.. Nikishawatembezea kipara ntawataja
 
Watu hii nafasi walikuwa wanaitamani balaa, ili wayatoe yaliyo moyoni mwaoo si unajua mapenzi kikohozi usipo sema sasa ndo utakuja fungua uzi eti sijui nampends Miss shimboni, sijui namkubali pepo iliyo duniani, siwezi lala bila kumuota mtu flani



*because of infatuatio dude*
 
Eti wanaume wenzangu ni mrembo gani humu jf unatamani sana awe wako wa milele?
Jamani miss chagga nampendaga mno, huyu mwanamke ipo Siku nitakula mzigo kiulaiiiiiiiiini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…