kwani humu si unaweza ku-imagine sauti ya mtu! uandishi wako ndio muelekeo wa sauti yako!Hee huwaga unaongea nao
Hahahaha mi sieleweki jinsia popote nipo ,,zamu ya majike dume yakifika tutaitwa centralkwani humu si unaweza ku-imagine sauti ya mtu! uandishi wako ndio muelekeo wa sauti yako!
emmyta na Valentina hawanaga porojo sana!
wanaongea kwa upole na maneno machache!
Dinazarde wewe mtata, mara una-act me; mara ke;
maneno mengi mno!
tunakuogopa maana usijeishia mikononi kwa Kigwa bure uitwe central!
DuuuhhWanatamani mrembo kama huyuView attachment 466714
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Unapendwa ila hutamaniwi
Nakujaaaaaa....Njoo kwangu DADA HUSNA (DAHU..!)
π π π π π tunapoelekea mtaanza kututongoza wenyewe.Jamani nami nataka
Haaaaaa eti jike dume wee dina weweHahahaha mi sieleweki jinsia popote nipo ,,zamu ya majike dume yakifika tutaitwa central
Nakutamani wewe..Njoo mdogo wangu
πUsitamani ni dhambi