Mdada gani unaetamani awe wako?

Mdada gani unaetamani awe wako?

hivi unaanzaje kumpenda mtu JF?sehemu hakuna picha zaidi ya mbili ili kuona umpendaye anamatege ya aina gani.
 
Pesa Pesa Pesa Pesa ndio laazizii ma habuba kwa sasa....,leta sembe kilo mbili...mahindi bei ghaliiii...
 
Kama nakuona vile ukivyo mchokozi
13774240_259996224383547_478586448_n.jpg

Hahaha mbona anafanana na miss chaga
 
Back
Top Bottom