mdada kanasa kwa jambazi.......

duh,yaani unaona kabisa hapa kuna moto lakini wapi!!kazi kwel kwel
 
sjui ntaanzaje kumweleza haya maneno unayoniambia
 
huyu dada bila shaka nako katakuwa kajambazi wakija wageni kila wakati ana wasiwasi.
 
Dah,life is so hard.But mm naamini kutoka kimaisha sio lazima uwe jambazi,kwa ushauri wangu ningependa amshauri atafute kazi nyingine,akifa hilo duka litapatikana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…