kwani jambaz sio mwanaume?
Hivi wanaume wameisha mtaani hadi aparamie jambazi?
sjui ntaanzaje kumweleza haya maneno unayoniambiaHuyo dada namshauri aachane na huyo jambazi but kwa kutumia akili coz huyo mtu anaweza mdhuru km akiondoka kwa kutumia sababu ya ujambazi,pili kuhusu sijui shepu na umri mbona sio sababu ya msingi na mtu kuogopa mpaka ajisalimishe kwa jambazi?
Mbona hao wenye hayo mashepu wako kibao mtaani na hawajaolewa?
Mbona mabinti kibao wanaolewa na umri ukiwa umeenda sana tu!
Namshauri wala hayo yasimwogopeshe,atoke kwa jambazi mungu atampa wa kufanana naye!
sijakusoma dear!Marytina bwana kila ukitokea una jambo..
umenishtua sana.Duh! Kazi yake ya hatari sana. Huyo mdada asije akawa mjane wiki 2 baada ya ndoa.
nearly umepatiaAna asilimia ndogo sana za mvuto,ndio maana amemganda jambazi.