Mdada katendwa kabakia haamini kama ni yeye ...

cacico mdada kabiki amechanganyikia ila duniani kweli kuna mambo ya ajabu sana
Nikiwaza huyo mmewe wa ndoa leo anamtamkia bila kumuoa fulani najiua
Wakati unasema hayo hukumbuki watoto,mke ,na ndugu zako
Inashangaza sana

Dada yangu FirstLady1,

Ndo maana watu wazima walijitahidi kumshauri atulize ball kwa sababu wao wana uzoefu. Binadamu yeyote ana element ya ukichaa ingawa tunatofautiana sana....Na ni kiumbe ambaye ni very elusive/dynamic..Tukiwajua haya basi hatakaa mbele za watu na kuongea upu.pu kama huo aliokuwa anauongea huyo mama!

Bahati mbaya kifo hakitoi fundisho...naamini kama angeweza kumrudisha huyo mume wake walau katika robo ya maisha yao ya zamani, hakika angekuwa na adabu sana!!

Kwa sasa hana jinsi....kama unaweza kumshauri, mwambie akubali kuishi kwenye mitala huku akiombea zamu yake kama fisi anayesindikiza mlevi!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
pole yake huyo mdada....
Alikuwa hawajui wanaumeeeeee...

Ndo maana JD aliimba 'usiusemee moyo wa mwenzi wako......'
 
Mimi namuamini Eiyer poleni wenye wanaume shingo Feni! Kongosho unalooo?


Wewe Kaungahuogopi kukosa mlango wa kuponyokea kama huyo dada?

Nadhani sie binadamu tunatakiwa kujifunza kumshukuru Mungu kwa mema tuliyopewa na kuwaombea wale walionyimwa badala ya kuwaona kama vile wamekosa kwa sababu ya uzembe wao....!

Kutesa kwa zamu...siku likihamia kwetu au wao wakainuliwa, tunabaki kuhangaika bila kujua mahali pa kuficha nyuso zetu!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Babu DC, nakubaliana na wewe, na ndio maana tunaambiwa kila jambo tufanye kwa kiasi, hata majisifu tufanye kwa kiasi..... lakini sasa hilo limeshatokea, amemsifia sana mumewe kwa mashoga na sasa mume kamgeuka, Je ajinyonge? au aendelee kubugia uchungu wa kusalitiwa? Kuna wanawake wengi wanakufa huku wakiona, na hii ni mojawapo ya sababu hizo....Mtu anamuona mumewe ni muasherati lakini kutwa kwenye maombi, eti anamuombea muasherati ili ajirudi. Ataomba wee mpaka aletewa UKIMWI, lakini yumo tu na maombi mpaka anaenda kaburini. Mtu wa namna hiyo sidhani kama atauona ufalme wa mbinguni........ Mungu aliposema, "Wanaadamu wanaangamia kwa kosa maarifa" hakukosea, mwanamke anayeangamia kwa ujinga wa namna hii si kukosa maarifa huko............!
 
cacico mdada kabiki amechanganyikia ila duniani kweli kuna mambo ya ajabu sana
Nikiwaza huyo mmewe wa ndoa leo anamtamkia bila kumuoa fulani najiua
Wakati unasema hayo hukumbuki watoto,mke ,na ndugu zako
Inashangaza sana
sweetheart FL1 yaani cku hizi bila sala na hizi ndoa, zinazidi kuwa mitihani, yaani watu wanapuliza usiku na mchana! ndio hivyoooooooo unakuta mume anabebwa mzima bila woga!
 
Babu DC sijui kwanini namuamini Eiyer, acheni nimiamini akinitenda si nitakuja mtanicouncil!

Halafu si huwa mnatushauri tuwaamini wapenzi wetu without reservation, sasa nikiwa na reservation maisha nitauafurahiaje?

Pamoja na hayo, nakubaliana nawe kuhusu kujisifia, nimefanya hivyo kwa Kongosho tu maana ameninyanyasa sana huko nilipokuwa nashare naye!
LOL
 
Last edited by a moderator:

Wahenga husema "usitukane wakunga uzazi ungalipo ma usimcheke mamba kabla hujavuka mto" Mtambuzi asante kwa kutukumbusha
 
Last edited by a moderator:
Ukiona fahali moja limejitenga na mafahali wengine si kitu cha kushangilia.
Hata ukiona simba dume moja limeasi kundini 'Be eyes' hiyo huwa ni 'misfit'
Na haya ndo ukikutana nayo lazima likuue haijalishi lina njaa au limeshiba

Lile fahali bana, haliogopi mafahali wenzie, sasa hilo lako linalokaa jikoni, watch Part 2 of the story.

Mimi namuamini Eiyer poleni wenye wanaume shingo Feni! Kongosho unalooo?
 

Nakubaliana na wewe ndugu yangu Mtambuzi.

Sisi sote ni binadamu tulioumbwa kwa nyama na siyo stainless steel...Kwa hiyo akili ya kawaida lazima kwanza itupeleke kwenye kushusha hasira zetu. Kwa hiyo ni lazima tutampa vidonge vyake...live au mafichoni!!

Baada ya hapo, tunarudi kwenye busara kama hizo unazopendekeza weye...

Huyo mwanamke anaweza kuamua kuishi mitala au kutimua...Inabidi sasa awe mbayu wayu!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:


Ni sawa Kaunga ila mpaka muwatangazie majirani au kutoa press release/press advert eti mnawaamini waume zenu?

Hilo ndilo linalonikera mie,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Wahenga husema "usitukane wakunga uzazi ungalipo ma usimcheke mamba kabla hujavuka mto" Mtambuzi asante kwa kutukumbusha

Umeona na wewe charminglady!!,

Watu wengi wana tabia ya kujisahau kama Riziwani ambaye hata hakumbuki kuwa baba yake atakuwa Magogoni hadi 2015 na siyo zaidi!

Wangeyakumbuka hayo, naamini wangekuwa na staha mbele za walimwengu!!

I wish huyo dada angepewa second chance!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Duh...kwa hiyo solution ni nini?
Wapeni waume zenu mapenzi msiwabanie ila mkiombwa mchezo mmbaya kataeni kwani mtaharibiwa tu na kukimbiwa


Hapa hakuna cha kubaniwa wala nini...dume limeamua kukengeuka tu...hata lingepewa 4 times a day bado lingeenda huko kwenye maji taka!

Babu DC!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…