Mdada niliyewahi mkimbia lodge ndiye Hakimu kwenye kesi yangu leo

Kesi imeahirishwa hadi tarehe 3 mwezi huu, ila naona mh kaniambia nimtafute.
Sasa hapa nawaza upya mkuu, isije ikawa yale majini yake ndio yananitafuta...πŸ˜‚
Worry not Kamanda, probably anataka kukusaidia.
 
🀣 🀣 🀣
Kwiiisha habari yako mkuu.
 
Hahahaa ushimen story zako hakii zinanichekeshaka sana! Huyo atakusaidia ushinde kesi eti
 
Hahahaa ushimen story zako hakii zinanichekeshaka sana! Huyo atakusaidia ushinde kesi eti
.....πŸ˜œπŸ€“πŸ˜‚
🀸🀸🀸🀸🀸
 
Ni miaka 12 sasa,

Sasa wakuu naombeni ushauri, nimkaushie ama nijifanye namfananisha ama nimdanganye kwamba tupo mapacha ama nimkumbushe tulipo wahi kuonana?

Maana wakati anasikiliza kesi yetu, alikuwa ananiangalia sana.☹️
Mkuu unataka kuyadanagnya maruhani???🀣🀣🀣🀣🀣
 
Alikuwa anaendelea kupewa raha na majini yake wewe ukaingilia kati, yani hapo majini ndio yalikukoromea kupitia yeye.

Sasa hapo mahakamani yatakukumbuka vzr tu na hukumu yatatoa yenyewe wewe ukidhani binti ndio anasoma shauri lako.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…