mdada siliaz na yuko single anayeish DAR

mdada siliaz na yuko single anayeish DAR

cross road

Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
31
Reaction score
2
habari wana jf,me ni kijana wa kiume 24yrs,siku zote nilikuwa nikiingia jf as guest na nimejisajiri kwa rengo moja 2,kumpata mwenz wa maisha,nina elimu ya chuo na ni mwajiliwa,nilikuwa na galfriend mwanzo lakn uhusiano uliisha baada ya yeye kwenda kusoma kenya na huu ni mwez wa 4 nikiwa alone..cfa zngu cyo mlefu sana ,msafi na nina mapenz ya kweli,nikpenda napenda kwel so kama wajua utanicheat ni bora usijsumbue..nahtaj mdada ntakayempenda kwa dhat kabisa awe anayeish Dar es salam,umri 18-26 rang yoyote,asiwe mnene sana or mwembamba,awe na kaz or elim kidato cha nne na kuendlea.
Ikiwa ni wewe ni PM
 
ah wapi. Elimu ya chuo cha madrasa au coz maelezo yako shida tupu hata speling ndogo ndogo. We saka ma house girl huko
 
ungekuwa na mapenzi ya kweli ungemsubiri huyo aliye enda kusoma!miezi minne tu ushaanza kuhangaika,anyway kwa hiyo ukisha mpata humu huingii tena!!
 
ungekuwa na mapenzi ya kweli ungemsubiri huyo aliye enda kusoma!miezi minne tu ushaanza kuhangaika,anyway kwa hiyo ukisha mpata humu huingii tena!!

bila shaka hujaelewa,nimesema niliekuwa naye mapenz yake kwangu yaliisha baada ya yeye kwenda kusoma,unamanisha nisubili nin?
 
bila shaka hujaelewa,nimesema niliekuwa naye mapenz yake kwangu yaliisha baada ya yeye kwenda kusoma,unamanisha nisubili nin?
haya bwana lakini naamini huyo hukumpatia humu,hivyo kaza buti kotekote,nje na ndani utapata!
 
Uwe muwaz chuo cha global nin au cha hotel management na cha jengo gan?
pia huo umri kwamza walipe fadhila wale waliokupa sapot hadi ukafika coz inaonesha ulirisit kidogo, huo mwandiko huo siamini kama ulipita kwa amani zile pepa za mama ndalichako.
 
Back
Top Bottom