Mdada umekuwa na rangi tatu

na bado siku hizi wanaenda kuumusha makalio ughaibuni wanakuwa kama makatuni.

mwanamke kujikubali ni ngumu mno.
 
Mdada umekuwa na rangi tatu๐Ÿ˜€, macho brown yameungua kream, una mabaka ya kream mpaka unamfanya mwanaume ahisi afya yako si salama. Mishipa ya damu inaonekana
Nawashangaa sana wanaume wanao date wanawake wanaojichubua, unakuta mwanamke ana mabaka ya kutisha na ndevu kama Osama eti anafanya yote haya ili apate mwanamme wa kumuoa ili aondokane na umasikini. Kwa kweli wanachekesha!
 
Wanawake wanaojichubua huwa wanatia kinyaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ