Na hivi babu wanakuwaga na roho ya huruma bora ulivyomkaziaKha nilimng'ang'ania babu kuhakikisha hakuna drink inanunuliwa
Sky Eclat fanya proof read kabla hujapost bandiko lako kuna siku utatuma matusi humu. Hahahaha nawaza kwa sauti.Jana tulikwenda kukumbuka enzi Mimi na babu yenu, yes wanapufa zilipendwa pia.
Wadada wazuri wamefika club wanaomba kabisa wanaume wawanunulie drink
Kama huna hela hivi kutoka ni lazima? Hiyo hela ya usafiri na kiingilio si ingenuous chakula ule nyumbani?
Ni aibu kwakweli, jitahidini kuwapa mafunzo wenzenu hao wanawaaibisha taasisi ya akina mama looooooh!Hapo ndio ninapowashangaa wadada hivi unatokaje huna hela na walivyoulamba sasa
Wanauza mbunye hao a.k.a Tukuyu for sale.
Wadada wazuri wamefika club wanaomba kabisa wanaume wawanunuliwe drink
?
Siku babu akitoka mwenyewe anachagua tu no stressJana tulikwenda kukumbuka enzi Mimi na babu yenu, yes wanapiga zilipendwa pia.
Wadada wazuri wamefika club wanaomba kabisa wanaume wawanunuliwe drink
Kama huna hela hivi kutoka ni lazima? Hiyo hela ya usafiri na kiingilio si ingenunua chakula ule nyumbani?
Wanawake hampendani. Kwani angenunua kingearibika niniKha nilimng'ang'ania babu kuhakikisha hakuna drink inanunuliwa