Mdada wa barbershop!

Wazee kuna binti anahitaji kazi ana experience ya kufanya kazi mgahawani namfaham ni muaminifu nimeshindwa kumsaidia peke angu kama kuna mtu anauhitaji na mfanyakazi serious basi anichek nimuunganshe na huyo binti (Ana mtoto anatafta maisha kwa ajili ya mwanae)
 
Takucheki
 
Kuna uzi niliupitia humu unasema “usiwaonee huruma wanawake” nikapata madini kidogo
Sio kila linalo andikwa humu ni la kuchukua mengine unajidai ujayaona
 
Jamaaan kwenye NAMTUMBO hapo[emoji23]

Nimekuja kugundua comments nyingi humu ndan mtu akitaka kuzungumzia suala la vijijini,maporini, mashambani uko anautumia Namtumbo kama mfano[emoji23]

Uko Namtumbo kwenyewe mnapajua au mnaropoka tu[emoji23]

Kwa mfano ww mkuu Namtumbo umefika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katikati ya story za mtaa, ghafla akatokea binti mmoja mzuri sana mrefu, maji ya kunde na hapo nyuma kafungasha si mchezo, na huu ndo ugonjwa wako, taa nyekundu ikawaka

Ukaribu ulizidi ndani ya siku 3 na mm nikawa nashauku sana ya kumla huyu demu maana anavutia sana, mapigo flani ya mbele ule weusi wa kimarekani na hilo tako hapo nyuma ndo nikapagawa kabisa🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…