TakuchekiWazee kuna binti anahitaji kazi ana experience ya kufanya kazi mgahawani namfaham ni muaminifu nimeshindwa kumsaidia peke angu kama kuna mtu anauhitaji na mfanyakazi serious basi anichek nimuunganshe na huyo binti (Ana mtoto anatafta maisha kwa ajili ya mwanae)
Sio kila linalo andikwa humu ni la kuchukua mengine unajidai ujayaonaKuna uzi niliupitia humu unasema “usiwaonee huruma wanawake” nikapata madini kidogo
Kuendelea kumfilisi kijanaAlienda kufanyaje Lodge akijua anaumwa?
Hivi nyie mnaosema hii ni chai, ni kwamba nyie mnaishi kijijini sana huko namtumbo matukio kama haya hamkutani nayo?
chai
Itakua vizuri mkuuTakucheki
Itakua Gonorrhoea/kisonono...hua zinatoa usaha mzito balaa...ukigusa tu,3days unamwaga uji.Demu ana kaswende dume
Jamaaan kwenye NAMTUMBO hapo[emoji23]Hivi nyie mnaosema hii ni chai, ni kwamba nyie mnaishi kijijini sana huko namtumbo matukio kama haya hamkutani nayo?
Au nyie ni vijana ambao mnashinda ndani na play station, ukitoka ukatafute chips yai ule ulale
Nyie ni watu wa namna gani, hamjichanganyi mtaa mkakutana na vitu kama hivi?