Mdada wa barbershop!

Mdada wa barbershop!

Sem
Majira ya jioni nimetulia kwenye liquor store ya mwanangu tunapata kinywaji mdogo mdogo

Katikati ya story za mtaa, ghafla akatokea binti mmoja mzuri sana mrefu, maji ya kunde na hapo nyuma kafungasha si mchezo, na huu ndo ugonjwa wako, taa nyekundu ikawaka

Yule binti alikuja kuomba chenchi ya 10,000/= jamaa akampatia, nikamtania

Mimi: jirani mbona siku hizi huonekani

Binti: akatabasamu nakujibu ww ndo huonekani jirani

Mimi: mambo yamekuwa mengi weka namba zako ili tusipotezane kiasi hichi

Bila hiyana mtt na tabasamu lake zuri akadondosha namba zake nikazi-save

Baada ya binti kuondoka mwanangu akacheka kinyama, akaniambia mzee ww ni balaa demu hata humjui umuchukua namba kirahisi hivo hivo, nikamwambia ndo kazi zetu hizi.

Kesho yake nikamcheki demu story nyingi sana, demu anapenda kuchat sana, yupo social sana ni demu ambae ukiwa nae huwezi kuwa bored mnyamwezi sana, siku hii sikugusia maswala ya mapenzi

Ukaribu ulizidi ndani ya siku 3 na mm nikawa nashauku sana ya kumla huyu demu maana anavutia sana, mapigo flani ya mbele ule weusi wa kimarekani na hilo tako hapo nyuma ndo nikapagawa kabisa


Weeked moja nikosafi mfukoni nikavuta waya mtt akapokea simu, nikamwambia leo tafuta sehemu nzuri tukapate burudani na vinywaji, akaniambia swala dogo kuna club nzuri ya kishua tutaenda utaenjoy

Mida ya jioni nakutana nae maeneo ya viwanja tukapiga pombe kali, mtt akawaka sana acha aanze kumwaga mauno, washikaji wametoa macho tu mate yanawatoka, alivutia sana kwa kile kinguo chepesi alichovaaa

Imefika mishale ya saa tisa usiku nikaona huu ndo muda sahihi wa kwenda kumwaga oil, kabla mtt pombe hazijakata kichwani akaanza kuleta vipingamizi, nikachukua usafiri mpaka lodge ya maeneo ya karibu hapo

Tumefika tukalipia chumba nikaiingia na mtt ndani huku akiyatingisha makalio yake kwa mbwembwe, mhudumu alikuwa wakiume akawa na yeye anashuhudia jinsi demu alivyokuwa anajiachia akiwa anatembea kuelekea room

Tupo room, demu akavua nguo zote akaelekea bafuni kuoga mm bado udenda unanitoka tu nikasema leo huyu mtt napiga mpaka asubuhi

Demu baada ya kutoka bafuni na mm nikaoga chap nikarudi ile tuanze kumlaki shetani, mara ghafla demu akaanza kuleta vipangamizi flani hivi, mara hatuwezi sex leo, bado sijakuamini, oh najihisi nimechoka ntakupa asubuhi, ikabidi nianze kubembeleza ili mtt anionee huruma maana nilimpania sana na yeye alijua hilo

Mtt akaanza kulegea mdogo mdogo ile nimepanda juu yake nianze kazi zangu, nilihisi harufu moja kali mno amabayo sikuweza kuvumilia, nikamuuliza hapo hapo una umwa? Akasema ww bado mdogo huwezi elewa, ikabidi niwe mpole kwa jibu hilo, maana demu ana 22, mm nimempita parefu sana kwa umri

Usingizi ulikata ikabidi nimsikilizie apitiwe na usingizi nikaaacha 10k pembeni yake incase asubuhi apate ela aya nauli nikasepa zangu, alikuja kunicheki kwa simu akasema aliambukizwa huo ugonjwa na msela wake ila mpaka leo hajapona na demu ni chombo

Ushauri tusiingiie kwa hawa watoto wa mjini kwa mawenge, maku zitatumaliza vijana
Kwa huo ugonjwa nimekuelewa, huku Chugga upo sana hasa kwa hivi vitoto under 25 yaani ni shida bro
 
Itakua Gonorrhoea/kisonono...hua zinatoa usaha mzito balaa...ukigusa tu,3days unamwaga uji.
Ni hatari man, kuna dogo hapa binamu yangu alifakamia kademu ka mtaani huko under 18, baada ya siku 3 tu ub*o ukaanza kumuuma na anatoa usaha nikamwambia aende akadungwe sindano bado mapema now kapona kabisa baada ya sindano 5 za kila siku.... Asaiv ananiambia bora apige puli tu kama ndo hivo amekula mara moja tu akatoka na Gono. Nmemwambia atafute demu anaejielewa aachane na malaya wa mtaani....
 
Ni hatari man, kuna dogo hapa binamu yangu alifakamia kademu ka mtaani huko under 18, baada ya siku 3 tu ub*o ukaanza kumuuma na anatoa usaha nikamwambia aende akadungwe sindano bado mapema now kapona kabisa baada ya sindano 5 za kila siku.... Asaiv ananiambia bora apige puli tu kama ndo hivo amekula mara moja tu akatoka na Gono. Nmemwambia atafute demu anaejielewa aachane na malaya wa mtaani....
Changamoto ya Gonorrhoea kwa mwanamke inachukua muda mrefu kujulikana na hapo ndio usugu wa ugonjwa hutokea,kwa mwanaume inachukua 3-5days kujulikana.
 
Back
Top Bottom