hili swali nilihitaji kuuliza pia...kwa manufaa gani ???kafanya ivo kwa manufaa gani.
Hivi bibi unaweza kukatika hivyoo? Au nyonga na pingili za mgongo ndo vishakazaHuyo alipata cha Arusha.
Nimechewakizamani kwetu, kumbuka hilo.Hivi bibi unaweza kukatika hivyoo? Au nyonga na pingili za mgongo ndo vishakaza
Bibi tulia. Hao sio kama. Ninyi Jana umeshinda na Uzi wa kumsea bi tozo kuwa ndo rais mzanzibari wa kwanza kutawala bara. Tukikuuliza urikodiwa Ili utuambie jibu huna.Huyo alipata cha Arusha.
Haka ningekua mimi, tunakabeba, peleka nyuma ya hilo jengo then tunaka-tumsimeNani anaweza hii kwa nchi nyingine ya Afrika Mashariki?
life is too short my friend... enjoy it while it lastskafanya ivo kwa manufaa gani.
Hiki mkuu unajikunjia tu unavyotaka, na vingi huwa vina stamina hatari, ukiwa mzembe unaaibikaSema kanaumbo zuri,kwenye 6*6 vya hivi huwa ni vitamu sana.