miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Hi baby!Huyo alipata cha Arusha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi baby!Huyo alipata cha Arusha.
tumifupa tupuNani anaweza hii kwa nchi nyingine ya Afrika Mashariki?
Hili ndilo Jeshi la Wananchi.Nani anaweza hii kwa nchi nyingine ya Afrika Mashariki?
Wewe umeongea la maanaHaka ningekua mimi, tunakabeba, peleka nyuma ya hilo jengo then tunaka-tumsime
Acting tuHili ndilo Jeshi la Wananchi.
😀Huyo alipata cha Arusha.
Tiktokkafanya ivo kwa manufaa gani.
Jeshi la Kenya lina Intergrity ya hali ya juu sana. And ofcourse ili uwe mwanajeshi laza uwe na utimamu wa juu kabisa.Nani anaweza hii kwa nchi nyingine ya Afrika Mashariki?
Acha kuihusisha Geneva of Africa na vituko vya kitoto!Huyo alipata cha Arusha.
Mwezako yupo kibiashara ziaidi, ametumia nafasi hiyo kuongeza umaarufu.kafanya ivo kwa manufaa gani.
Cha Arusha hata waziri mkuu kakisifia.Acha kuihusisha Geneva of Africa na vituko vya kitoto!
Hilo ni jiji la kitalii madam! Ni jiji la wapambanaji.Cha Arusha hata waziri mkuu kakisifia.
Huyo Gen Z hakuwa Arusha, kilichosifiwa na waziri mkuu ni "cha Arusha".Hili ni jiji la kitalii madam! Ni jiji la wapambanaji.
Umeshafika Arusha lakini au unapaangaliaga tu kwenye TV?Huyo Gen Z hakuwa Arusha, kilichosifiwa na waziri mkuu ni "cha Arusha".
Tungekinya Sasa hivi angekua anatema-tema mate tuKatiba bora imewapa freedom.