LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
- Thread starter
- #21
Bas nitamkubalia nimchune mpk mvi zake akome siku nyingine haha hahha hahahhaaaaaaaaaa
Mmm MR kutokana na mitego yake ya mipesa unaweza fikiria hivo, afu si unajuaga ee lunch 10000, nauli 10000 daily. Lakini sasa mwenzio anamalizia maisha we ndo kwanza unaanza, akimaloiza na wewe??