mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
Bas nitamkubalia nimchune mpk mvi zake akome siku nyingine haha hahha hahahhaaaaaaaaaa

Mmm MR kutokana na mitego yake ya mipesa unaweza fikiria hivo, afu si unajuaga ee lunch 10000, nauli 10000 daily. Lakini sasa mwenzio anamalizia maisha we ndo kwanza unaanza, akimaloiza na wewe??
 
Asante the BM, umri wa muathirika ni hii age ya nimemaliza chuo natafuta kazi.
Ha ha haaa!
Sasa utaanzia wapi kumkataa mtu mwenye mauwezo ya namna hiyo na wewe una dhiki....!Inataka Mlokole aliyebobea...nitakachokushauri ni kwamba umwambie MKAPIME UKIMWI tu...!
 
Mi bado mdogo mambo hayo usinikuze na kun-zeesha mtoto wa mwenzio, kama bosi nampotezea wee nafanya kama vile naona hamaanishi,namwambia namheshimu sana........nikiona anazidi na kazi naitaka namwambia naumwa so siruhusiwi kufanya hayo mambo,nikipona ntampa jibu zuri...........LOL
 
Ha ha haaa!
Sasa utaanzia wapi kumkataa mtu mwenye mauwezo ya namna hiyo na wewe una dhiki....!Inataka Mlokole aliyebobea...nitakachokushauri ni kwamba umwambie MKAPIME UKIMWI tu...!

The BM ok Mlokole ulobobea lkn yy anamajibu ya huo ulokole kuliko wewe, yani kila jibu lina swali na kila swali lina jibu, ukiangalia sana solution yako ya mwisho ni kumkimbia. Halafu unadhani vibabu ni rahisi umwambie tukapime akubali? Tena nasikia hata kondomu huwa hawatumii.
 

Hi style ni nzuri kuitumia lakini sasa huwa wana akili sana na kila unachodanganya anajua unadanganya.
 
LD!
Kweli umebananishwa!'

Lakini kwa kauli hizo za hapo juu, inaonyesha kuwa mhusika yuko radhi kabisa kuingia mahusiano na huyu kibabu...anachotaka ni 'go ahead' yetu.

Hapo kikubwa kitakachosaidia au kuvuruga ni consience (kujisikia hatia ama la)ya binti mwenyewe!...Kama anathamini ubinadamu, na si mali basi hawezi kuingia kwenye mahusiano ya hivyo.

Kuna mtummoja alisema kwamba kama binti hafunzwi na wazazi wake kuhusu habari za ngono, basi huko nje kuna walimu wazuri kishenzi wa ngono, na ndio hawa vibabu wenye majibu ya maswali yote!
 
ahh uyo ndo mzuri mwaya!!
hana madhara...nyoka wa kibisa....
simkatai ata dk moja na ninawataka sana ao

yaani wazuri unafanya kumpepea tu km mtoto ANALALA ..:wink2:
...lakin ukijifanya kupenda ao akina marelia asugu mbona utakoma WANASIMAMIA MPK barabara yote inaota kutu akha mie stak...:A S 465:

wazee huduma A kuchakachua F
vjana huduma F kuchakachua A+
namsaka mbabu wa miaka 70 ivi nile rrraha....usiku unamwimbia tu chaupele mpenziiiiiiiiiii ayo usemayo km ni malaz yapeleke kwa daktariiiii...basi analala!!!!!!
 
Mi like this,thanks....

 
Rose..huwa unapata wapi maneno haya fasta namna hii?...
 

atavalia wap? kidolen?
hawana madhara wale...wanalala tu km nguruwe mzee MINAWATAKA HASWAAAAA ..km ukiona bado ana nguvu basi utatafuta mbnu nyngne ya kumkabili bt ninavyojua wale watu ni wa kuchezewa tu km nyoka wa kibisa unamrushia uku unamvingirishia kule lakin kuuma haumi wala nini na apo ndo napataka mimi!!!!!!!
 
Kusema ukweli kuna wababa wanajua kusomesha, anakukaba haswaaaa, kila swali anajibu, kila jibu lako ana swali lake. Hivi unaepuka je hapa.

LD,hahahah,umewash2kia eeeh!wazee wa kisasa ni watata,na ni wajanja,bt pia wanajua vzur saikolojia ya madada!
 
Acha tu msasha, sitaki kudanganyika kabisa babu, ila sasa unamjibu nini huyu baba. Manake unakuja kukuta solution ya mwisho ulonayo nikumkimbia na ukikimbia hata hela ya kupeleka CV mjini kwa ofisi fulani utakosa. Ha ha ha babu wewe.

Kwann ukimbie LD, kwani anataka kukubaka ofcn au anakutongoza? kutongozwa kawaida na unatoa jibu lile ulilo nalo moyoni kama humtaki ni no na hakuna kupeana sababu! shida we unampa chance ya kuendelea kukubembeleza na maneno yake ya kisanii shauri yako!
 

Na hapo ndo penyewe Maarifa, fikiria na maisha haya yalivyo magumu.
Hivi unashinda je mtego kama huu.
 
Ha ha haaa!
Sasa utaanzia wapi kumkataa mtu mwenye mauwezo ya namna hiyo na wewe una dhiki....!Inataka Mlokole aliyebobea...nitakachokushauri ni kwamba umwambie MKAPIME UKIMWI tu...!

ahh ukimwambia ivo atajua ni step nzuri leo kesho utampa mambo
uyo daily unamzungusha mpk siku akija kugutuka utakuwa ushanunua kiwanja chako tayar na apo sasa unaanza kuwa mdg like beb me 2 i want jig jig pbm atujapima so plsss naomba tukapime na apo najua ukimwambia kupima lazima atachomoaa au itachukua muda mrefu sana wa kujifikiria mpk kukubal KM SI KUKATAA KABSA na HAPO NDO AHUEN YAKO cz utasimamia ya kwamba si fanyi bila kupima na kutumia mpira stak ....:wink2::wink2:

UTAKUBALI VIP KUCHAKACHULIWA NA KITU ILIYOMALIZA ANNIVERSARY BWANA?
ao ni kwa matumizi ya apa na pale tu na ni rahisi kudanganywa yaan km mtoto vile cha msingi ujue kumanuva na akil yake basi na wale wana ugonjwa wa kupenda dogo dogo so ukimpa uwongo kdg tu unaOelekea na ukweli basi wanatulia WANAOGOPA KUWA WAKALI CZ UTAMKIMBIA!!!!
 

Habari ya PJ kwanza, PJ sikia kaka, kababu ni kabosi, muathirika hataki kabisa kuingia kwene mahusiano ya jinsi hii, kazi anaitaka,
Ametumia mbinu zote za kumkatalia babu lakini zimegonga ukuta, babu hakati tamaa. Muathirika huyu hana uhakika wa ajira nyingine leo au kesho, je aache kazi akimbie?? akabidhiliane vipi na haka kababu??

Zingatia mazingira magumu, ambayo lazima kabosi kapate nafasi ya kuongea na wewe.
 
LD,hahahah,umewash2kia eeeh!wazee wa kisasa ni watata,na ni wajanja,bt pia wanajua vzur saikolojia ya madada!

Yaaani bora ukutane na mkaka tu, hata kama ameoa, utakuwa na chakuongea, na cha kumfanya akuelewe unachomaanisha.
Lakini hawa wazee bwana, kwanza anakufanya hujui icho unachokisema, halafu hawaachi usumbufu. Hata kama anajua hutaki kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…