Bas nitamkubalia nimchune mpk mvi zake akome siku nyingine haha hahha hahahhaaaaaaaaaa
Ha ha haaa!Asante the BM, umri wa muathirika ni hii age ya nimemaliza chuo natafuta kazi.
Ha ha haaa!
Sasa utaanzia wapi kumkataa mtu mwenye mauwezo ya namna hiyo na wewe una dhiki....!Inataka Mlokole aliyebobea...nitakachokushauri ni kwamba umwambie MKAPIME UKIMWI tu...!
Mi bado mdogo mambo hayo usinikuze na kun-zeesha mtoto wa mwenzio, kama bosi nampotezea wee nafanya kama vile naona hamaanishi,namwambia namheshimu sana........nikiona anazidi na kazi naitaka namwambia naumwa so siruhusiwi kufanya hayo mambo,nikipona ntampa jibu zuri...........LOL
ahh uyo ndo mzuri mwaya!!
hana madhara...nyoka wa kibisa....
simkatai ata dk moja na ninawataka sana ao
yaani wazuri unafanya kumpepea tu km mtoto ANALALA ..:wink2:
...lakin ukijifanya kupenda ao akina marelia asugu mbona utakoma WANASIMAMIA MPK barabara yote inaota kutu akha mie stak...:A S 465:
wazee huduma A kuchakachua F
vjana huduma F kuchakachua A+
namsaka mbabu wa miaka 70 ivi nile rrraha....usiku unamwimbia tu chaupele mpenziiiiiiiiiii ayo usemayo km ni malaz yapeleke kwa daktariiiii...basi analala!!!!!!
Rose..huwa unapata wapi maneno haya fasta namna hii?...ahh uyo ndo mzuri mwaya!!
hana madhara...nyoka wa kibisa....
simkatai ata dk moja na ninawataka sana ao
yaani wazuri unafanya kumpepea tu km mtoto ANALALA ..:wink2:
...lakin ukijifanya kupenda ao akina marelia asugu mbona utakoma WANASIMAMIA MPK barabara yote inaota kutu akha mie stak...:A S 465:
wazee huduma A kuchakachua F
vjana huduma F kuchakachua A+
namsaka mbabu wa miaka 70 ivi nile rrraha....usiku unamwimbia tu chaupele mpenziiiiiiiiiii ayo usemayo km ni malaz yapeleke kwa daktariiiii...basi analala!!!!!!
The BM ok Mlokole ulobobea lkn yy anamajibu ya huo ulokole kuliko wewe, yani kila jibu lina swali na kila swali lina jibu, ukiangalia sana solution yako ya mwisho ni kumkimbia. Halafu unadhani vibabu ni rahisi umwambie tukapime akubali? Tena nasikia hata kondomu huwa hawatumii.
Kusema ukweli kuna wababa wanajua kusomesha, anakukaba haswaaaa, kila swali anajibu, kila jibu lako ana swali lake. Hivi unaepuka je hapa.
Rose..huwa unapata wapi maneno haya fasta namna hii?...
Acha tu msasha, sitaki kudanganyika kabisa babu, ila sasa unamjibu nini huyu baba. Manake unakuja kukuta solution ya mwisho ulonayo nikumkimbia na ukikimbia hata hela ya kupeleka CV mjini kwa ofisi fulani utakosa. Ha ha ha babu wewe.
hpful ur duin great mamito..!Mi like this,thanks....
Je akija na Trip ya shopping Dubai ama Hong Kong, Ama anakuonesha Funguo za Plado zaidi Nyumba iliyokamilika kuhamia eneo zuri tu na iko full furnished hayo majibu bado utakuwa nayo? I mean vishawishi halisi na vya maana!! muwe wakweli!! sisemi habari za Lunch ama Dinner!! I mean real Stuff!!!
Ha ha haaa!
Sasa utaanzia wapi kumkataa mtu mwenye mauwezo ya namna hiyo na wewe una dhiki....!Inataka Mlokole aliyebobea...nitakachokushauri ni kwamba umwambie MKAPIME UKIMWI tu...!
Mapenzi vs uchumi....
LD!
Kweli umebananishwa!'
Lakini kwa kauli hizo za hapo juu, inaonyesha kuwa mhusika yuko radhi kabisa kuingia mahusiano na huyu kibabu...anachotaka ni 'go ahead' yetu.
Hapo kikubwa kitakachosaidia au kuvuruga ni consience (kujisikia hatia ama la)ya binti mwenyewe!...Kama anathamini ubinadamu, na si mali basi hawezi kuingia kwenye mahusiano ya hivyo.
Kuna mtummoja alisema kwamba kama binti hafunzwi na wazazi wake kuhusu habari za ngono, basi huko nje kuna walimu wazuri kishenzi wa ngono, na ndio hawa vibabu wenye majibu ya maswali yote!
LD,hahahah,umewash2kia eeeh!wazee wa kisasa ni watata,na ni wajanja,bt pia wanajua vzur saikolojia ya madada!