mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date

Me loves you....Babu is 73 years old. How do you smell it darling?....Roya is no here babe.
 
Hivi Babu yangu asprin ameishafikisha miaka 70.
 
Yaaani bora ukutane na mkaka tu, hata kama ameoa, utakuwa na chakuongea, na cha kumfanya akuelewe unachomaanisha.
Lakini hawa wazee bwana, kwanza anakufanya hujui icho unachokisema, halafu hawaachi usumbufu. Hata kama anajua hutaki kweli.

mbona usumbufu sasa?
lakin kwa vile analipia poooa tu we msikilizie..KWAN KUJIFANYA ZEZETA KWA MUDA KDG NGUMU?eeh ndyo we jifanye ujui kila kitu so kila kitu we uliza tu ..uliza mpk..et babu i toilet pepa naweza kuandikia barua ?asi anakuona we ujui kila kitu sa ufanyaje?

ndo raha yao kuona wewe unaparasite kila kitu toka kwake ndo anaona yap nipo na dogo dogo kweli!!!!!
 


Mmm Rose, vibabu vingine vijanja, kikiona unakidanganya sana vyaweza kukuharibia maisha ati.
Mmmmmmmm, ule chake afu umshike masikio tu. Imagine mzee wa kichaga, atakutoa roho wewe.
 
Me loves you....Babu is 73 years old. How do you smell it darling?....Roya is no here babe.

ur gud candidate
automaticallly umepata iyo TENDER

anza kijipanga uanze UTENDAJI

pls note ths b4 anythng;
ma account namba iz 11j765555qu77
BENK YA POSTA.

ahh rr hana mpango anda 18 yule!!!!!
 


ha ha ha ha ha. Rose we unawaelewa vizuri hawa vijana wa zamani aisee!!
 
Michelle una u hakika kama wewe bado mdogo??? maandishi yako tu nunaonekana unatosha na unayaweza.....mitego ipo mingi na umeshanasa sana....ndege mjanja hunasa kwene tundu bovu au vp?
 
Mmm Rose, vibabu vingine vijanja, kikiona unakidanganya sana vyaweza kukuharibia maisha ati.
Mmmmmmmm, ule chake afu umshike masikio tu. Imagine mzee wa kichaga, atakutoa roho wewe.

Mshiki unamiliki bastola? Kama huna njoo nikugee hii niliyoiba kule Rwanda.
 
Mmm Rose, vibabu vingine vijanja, kikiona unakidanganya sana vyaweza kukuharibia maisha ati.
Mmmmmmmm, ule chake afu umshike masikio tu. Imagine mzee wa kichaga, atakutoa roho wewe.

babu ni babu UKIWEZA KUMSHIKA AKILI MBONA POA TU
jipange uwongo wako uwe na ukweli kdg

atakuharibiaje maisha wewe?kwan utadisplay kila kitu chako kwake?
haina kujua kwako unaish wap wala unafanya wap kaz wap na simu pia unakuwa makin nayo..KWAN UMEOLEWA?atakuarbia kwa mumeo?
KM UMEOLEWA ACHANA NA IZI DRAMA ..swaga izi znafanyika kwa mtu asiyeolewa yaan UNAFANYA TU MAADVENTURE ata bfrend unaweza kumuhadithia km kweli haumcht lakin km umeolewa mumeo atakukeketa nakwambia acha i mambo mapemaaaaaaaa..kuna vbabu vingne vichawi unaweza kuta unamwacha mumeo ivi ivi!!!

SASA DADA unataka kunambia unataka kumTUNUKU TUNDA KIBABU?mmh shaur zako wan presha ao wakikufia juu ya kinena ndo utajua rainbow ina rang ngap na ivi OCAMPO yupo dar atakukusanya ICC!!MANAKE itakuwa ni kes ya kimataifa!!!!

achana na vbabu wewe unless othwise km ushajitoa sadaka km dada zetu wengne waleeee...tafuta wa age yako ambaye mtaelewana na mtacode kwa mambo meng!!!!!

babu aoni daily atakwambia mjukuuu mpenz naomba unisomee gazet nisikie mmh ndo umpate wa EAC ananunua the guardian tu ..achana naizo adhabu.
 
Mshiki unamiliki bastola? Kama huna njoo nikugee hii niliyoiba kule Rwanda.

Kaka inabidi nije kuichukua hiyo, manake sipati picha.
Halafu inabidi niandae kikosi cha ulizi shirikishi, tunahakikisha tunafuata ushauri wa Rose sawasawa.

Nyumba inajengwa, prado tunapata halafu no...................
Kaka nakuamini, naomba uanze kupendekeza majina ya walinzi.
 
mimi ni babu miaka 67, nilikutana na kabinti ka chuo kikuu kimoja hapa nchini.
baada ya kumwaga sera zangu zote akaniambia nimnunulie gx 100 pamoja na nyumba kijitonyama ndipo avue kufuli
 
Kisa cha kuchakachuliwa na mbaba wa miaka 60 vijana hawapo??? Siwezi kukubali bana sio fair
mbona mimi nachakachua jimama 50+

*25 goes into 50 'twice' but 50 goes into 25 by just a half!
 
ha ha ha ha ha. Rose we unawaelewa vizuri hawa vijana wa zamani aisee!!

ndo wadau wangu aooo..ninao km 7 ivi ...tabu yao hawwapend uvae majeans wanapenda vimin tu ahh wananiboa mimi!!!!
wababu wa3 toka EAC nasubiria mafao tu mwenzio na ivi wameshnda kess ahh kwa raha zangu

nishashona vtenge vyangu mwenyewe vya kumsindikiza babu benk kuchukua ela zake then direct matombo kwa vacation kidg ela zikiisha au nikiweza kuziamisha kwenye akaunt yangu na yeye namwachia robo tu apo sasa narud dar!:wink2::wink2:
 

Wa kwanza ni Jemedari na Amiri Jeshi Mkuu Babu Asprin a.k.a Big Braza ODM!
 

Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, Roseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, sijaolewa bana, lakini mpango wa kumpa kibabu tunda hakuna kabisa,
Ila kanamaudhi sana, kasumbufuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Haya hayaaaaaaaaaa, du nimecheka hadi watu wakashtuka humu.
 
You sound like ur so desperate to say YES to hako kababu. You sound like ur a c**t!
 

LD a big NO inamtosha kibabu,,no offence!
wala haiitaji mjadala mrefu,to me ur lyk my dady,my grand pa,we can't make it!simple
Ikibidi mpe na neno la wokovu kdg,,amrudie Bwana aachane na uzinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…