Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, Roseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, sijaolewa bana, lakini mpango wa kumpa kibabu tunda hakuna kabisa,
Ila kanamaudhi sana, kasumbufuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Haya hayaaaaaaaaaa, du nimecheka hadi watu wakashtuka humu.
mchune weweUwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, Roseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, sijaolewa bana, lakini mpango wa kumpa kibabu tunda hakuna kabisa,
Ila kanamaudhi sana, kasumbufuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Haya hayaaaaaaaaaa, du nimecheka hadi watu wakashtuka humu.
hpful ur duin great mamito..!
apy frday sweeeetie ..today iz ma pumba day so u just wait u wl c!!!!
love yaaaaaaa!!!!
umri wake haueleweki unabadilika kutokana na mazingira
mchune wewe
lakin kuwa makin weapon kubwa wanayotegemea ao ni uchawi
Wengine babu, at least watano hivi, naona watatutosha.
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?
Hasa pale inapotokea majibu yote ulionayo yy ana maswali yake.
Na maswali yote ulionayo yy ana majibu yake.
LD a big NO inamtosha kibabu,,no offence!
wala haiitaji mjadala mrefu,to me ur lyk my dady,my grand pa,we can't make it!simple
Ikibidi mpe na neno la wokovu kdg,,amrudie Bwana aachane na uzinzi.
Babu na wajukuu zake:
1. Jenerali Wiselady
2. Meja Jenerali Mwanajamiiwani
3. Luteni Jenerali Maty
4. Kanali Festilady
5. Luteni Kanali Rose1980
6. Meja Afrodenzi
Wanatosha? Kama vipi tutawatuimia na
1. Koplo St,RR
2. Private Bigirita
3. Sajenti Kimey
4. Mgambo Finest
Kibabu kitakuwa marehemu fasta fasta
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?
Hasa pale inapotokea majibu yote ulionayo yy ana maswali yake.
Na maswali yote ulionayo yy ana majibu yake.
Ukiona hivyo na wewe ujue unatamaa na sio sababu kuwa eti kila swali anaouliza anajibu, sema unataka hizo alizokuwa nazo hakuna lolote
Inamaana mdada anamvulia nguo mwanaume kwa kuwa alijibiwa ma swali na kuoneshwa mahela kama unavyofikiria wewe?
kama mtu huna hisia nae za kimapenz hata iweje huwe kumvulia nguo labda wewe ni mfanya biashara au unafata pesa kwa huo umasikin wako
Na umasikin ukiuendekeza utamvulia nguo kila mtu.
NOTE: ACHANA NA UJINGA WAKO
Sasa mshiki ungekuwa huna vyeti vinavyouzika ndo ungemkabidhi hicho kikojoleo chako with all your love?Habari yake LD bana,
Kwa upande wangu its a big NO hata kazi atanitimua nina vyeti vyangu na vinauzika I go somewhere else.
Kisa cha kuja kufiwa na kibabu kifua no no no no
WL mwenzangu sikia majibu, am neither your biological
dady nor your biological grand pa, what you
Get from young stars is what Ill give you, What's new??? Nani alikudanganya kuna kuokoka?? Mi nashangaa kwanza walokole maskini wakutupwa.
Habari yake LD bana,
Kwa upande wangu its a big NO hata kazi atanitimua nina vyeti vyangu na vinauzika I go somewhere else.
Kisa cha kuja kufiwa na kibabu kifua no no no no