:grouphug:
hahahaaaaaaaaaaaa lol! haya bana
Vibabu si sawa na BABU. Vitu viwili tofauti. Kama Dr. Slaa Vs dR. Kikwete.
Kasema hataki vibabu ujue.....
Hivi kibabu ni sawasawa na kikongwe au?
ujana ale na nani uzeeni aje atafute vitoto vya wenzie!!!
Maty...Babu loves the whole of you...! Hebu do the needful basi.
That will be name calling.....lol
Hivi kibabu ni sawasawa na kikongwe au?
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?
Hasa pale inapotokea majibu yote ulionayo yy ana maswali yake.
Na maswali yote ulionayo yy ana majibu yake.
Angekua mzungu,,,usingekumbuka umri aliyekutajia.
Kwa kuwa mzungu ana baioloji mbili au?
Hawa wenzetu huwa wanashobokea sana wazungu.
Na usikute kibabu chenyewe kimeshakulamba wewe LD,
Sasa unachofanya hapa ni kujustify hilo tendo lako,
Na kupata mawazo ya wadau,
Akili yangu imenituma kusema hivyo!!
Pole!!!!!
ndio 60/20yrs!? hata kama age sio tatizo hapo sikubali, defference kama ya 10 yrs nakubali lkn si ya 30... 40.... mpaka ngozi ishaelekea kusinyaaa Bacha!Hivi Lady N, nyie si ndo huwa mnasemaga kuwa age ain't nothing kwenye mapenzi?
mbona leo wasema hivo?
Sasa we Bacha bana, kwa nini akili yako inakutuma hivo??
Anyway hakuna ubaya.
Sema basi nataka kushinda huu mtego na kazi nibaki nayo.
Kwa sababu sasa naona tiba ya hii nikumkimbia babu.
Hebu nisaidie kidogo. Nikaa huko kitaaa sinitachoka na umaskini huu.